Tuesday, March 31, 2009

Yote Kuhusu Matiti

Yote Kuhusu Matiti

Swala la mazoezi ya matiti halijaanza karne hii bali lilianza miaka mingi sana ktk Makabila fulani kwamba ilikuwa sehemu ya kumuandaa mwanamke kukaa vema kwa ajili ya mwanaume atakae muoa...

Matiti si kiungo muhimu sana ktk mwili wa mwanamke, lakini

matiti ni chakula bora cha mtoto na hukufanya uwe karibu na mwanao,
matiti hukupa wewe mwanamke raha fulani hivi yanapochezewa na mpenzi wako, matiti ni kivutio kikubwa kwa wanaume wengi,
matiti ni sehemu,
matiti ni kitambulisho cha UANAMKE,
matiti hufanya upendeze ndani ya nguo/mavazi na
matiti hayo kwa wanawake wengi ni kipele muhimu cha kunyegesha ikiwa tu yatanyonywa na kulambwa vyema......sio dume wajilambia tu ka vile walamba "chikilimu" (I ce cream 4 u) utamuudhi mkeo/mpenzio au atakudharau!

Kuna jinsi ya kusafisha matiti, kuna jinsi ya kuyatunza matiti ili yasilale kabla ya muda wake na bila kusahau matiti yanahitaji tizi (mazoezi).

Mazoezi ya Matiti yanayoanza kujitokeza!


Kama nilivyosema awali kuwa ikiwa wewe umechelewa(ulikuwa hujui hili wakati matiti yako yanaota) basi msaidie mdogo wako au binti yako anaekuwa hivi sasa, ili asije kujisikia vibaya pale wanaume watakapokuwa wakiponda/zungumzia matiti kwa kuyaita "malapa"...."flapy" n.k.

Kwanza kabisa hakikisha mtindo wa kulala ni kifudifudi (kulalia tumbo), kwa kufanya hivyo kunasaidia kwa kiasi kikuwa kufanya matiti yako yabaki/pumzike, kwamba hakuta kuwa na kuning'inia kama utakuwa umelala chali(lalia mgongo) au kiubavu.

Zoezi1
Asimame wima dhidi ya mlango au ukuta kisha aegeshe matiti yake mahali hapo kwa nguvu kisha aachie (ajitoe ukutani), zoezi hili hufanya matiti yaume sana lakini wewe kama dada/mama mpe moyo kuwa avumilie. Afanye hivyo mara 20 kila asubuhi.

Zoezi2
Simama wima huku mikono yako ikiwa imenyooshwa huku na kule kisha ipeleke mbele nakukutanisha viganja vyako alafu irudishe nyuma kadiri uwezavyo (sio lazima ikutane) ila utahisi maumivu fulani sehemu ya matiti (misuli yafanya kazi hapo)....fanya hivyo mara 10 na ongeza hesabu jinsi unavyokua.

Zoezi3
Ukiwa umesimama wima na mikono yako imenyooshwa huku na kule inanyue taratibu kuelekea juu na kutanisha vidole vyako huko juu kisha rudisha mikono ilipokuwa (imenyooka huku na kule).


Utunzaji wa matiti wakati wa hedhi na Ujauzito!


Natambua kuwa uvaaji wa sidiria wakati matiti yanakua, wakati wa hedi na wakati wa ujauzito ni karaha sana na unahisi kubanwa tu (kwa vile yanauma kiaina) na hali hiyo hufanya wengi kuachana nazo na kuachia matiti yakining'inia bila "support".

Kama nilivyosema awali kuwa matiti wakati wa hedhi huongezeka ili kuwa tayari kutengeneza chakula cha mtoto ambae kwa wakati huo yai lako linakuwa likisubiri kurutubishwa na mbegu ya kiume lakini hilo lisipotokea basi matokeo yake ni wewe kupata hedhi.

Si wanawake wote wanaopata maumivu/ongezeko la ukubwa wa matiti wakati wanakaribia hedhi na wakati wa hedhi, lakini ikiwa wewe ni mmoja ya wale ambao matiti huongezeka ukubwa unapokaribia na wakati wa hedhi basi hakikisha unafanya mazoezi kama niliyoeleza kule mwanzo na pia zingatia kuvaa sidiria wakati wote isipokuwa wakati wa kulala.

Vilevile kwa wamama wajawazito ni vema kuvaa sidiria ili kuyasaidia uzito wa matiti yako usiyavute kwenda chini hali itakayopelekea kuwa na matiti yaliyolala mara baada ya kujifungua.


Vaa sidiria au vest kadili siku zinavyo kwenda!


Jinsi matiti yanavyokuwa ndio uzito wake huongezeka hivyo kama binti/mwanamke unahitaji kuyasaidia kwa kuvaa kitu ambacho kitayasaidia kubaki pale yanapopaswa kubaki......nina maana vaa sidiria.

Vest ivaliwe wakati ukifanya mazoezi au unaweza kujifunga khanga (nyepesi) chini ya matiti yako hali itakayosaidia matiti yasiume sana wakati unafanya unayasumbua(inategemeana na ukubwa wake).

Wakati nakuwa wanawake wengi walikuwa wakiamini kuwa kuvaa sidiria kunasababisha matiti kuanguka; sio kweli.

Kumbuka kutovaa sidiria wakati wa kulala kwani naweza kusababisha uvimbe (damu kujikusanya pamoja) ktk matiti yako na badala yake lala kifudifudi(lalia matiti yako a.k.a lalia tumbo) ili kuya-support.



Usafishaji wa Matiti


Hakikisha unasafisha eneo zima la matiti hasa sehemu ya chini (ikiwa wameanguka tayari) kama ilivyo sehemu nyingine ya mwili wako, vilevile hakikisha chuchu zimejitokea na usafishe vema chuchu hiyo....hii sio kwa walionyonyesha au wanaonyonyesha tu bali hata wewe ambae hujawahi kuwa na mtoto.

Unatambua kuwa unapokuwa mtu mzima chuchu hutoa kashombo fulani hivi ambako husababishwa na utokwaji wa majimaji fulani unapokaribia hedhi na wakati wa hedhi (hii ni kutokana na matiti hayo kutengeneza maziwa ikiwa utarutubisha yai lako).



Kunyonywa/chezewa matiti yako ili kuzuia yasianguke haraka



Hakikisha mpenzi wako anayanyonya akiwa ameshikilia au wewe umeyashikilia, vilevile hakikisha anapo yapapasa au kuyatomasa, basi afanye hivyo bila kuyahangaisha....kwamba ahakikishe yametulia.

Unapokuwa kwenye mkao wowote unaosababisha matiti yako yasumbuke basi hakikisha mpenzi kayakamata sawa au kama wewe mwenyewe hujapoteza akili kwa raha basi yashikilie....kwa kufanya hivyo kutasaidia matiti yako yasilegee kabla ya wakati.

Ni wazi kuwa matiti yanakwenda kulegea pale yatakapokuwa yanapoza homoni yaani yaani mwamke kuzeeka lakini kuzaa au kuwa mdada mkubwa (over 40) sio sababu ya kujiachia.

Uwazi katika ngono

Uwazi katika ngono

Kama ilivyo kwenye mahusiano mengine ya Kikazi, Kifamilia na Kimapenzi, Ngono pia inahitaji uwazi. Natambua kwa namna moja au nyingine unahofia kuwa wazi kwa mpenzi wako kuelezea/omba kile ambacho unajua kinamfurahisha au anapenda kufanyiwa kabla ya ngono , wakatiwa ngono na baada ya ngono.

Hii ni kutokana na kasumba iliyojengeka kwa baadhi ya wanawake kuwa mwanamke hupaswi kuwa wazi sana kwenye swala hili kwa vile linamfanya mwanaume ajisikie vibaya (Ego thing),na matokeo yake wengi huwa wanaongopa/danganya kufurahia wakati mioyoni mwao wanatambua wazi kuwa hakuna raha au utamu wowote wanaoupata.

Kutokana na maendeleo ya Dunia hivi sasa wanaume wengi wameondoa mavumbi(Elimika/changamka/elewa) nafasi ya mwanamke katika swala la ngono tofauti na miaka ile ya nyuma ambapo tendo hili lilifanyika kumstarehesha Bwana na kuongeza ukoo(kuzaliana).

Kwa maana hiyo swala la mwanamke kufika kileleni halikutiliwa maanani na mwanaume au mwanamke mwenyewe, na ikiwa mwanamke anafurahia ngono wakati huo ilikuwa wale wachache ambao wamebahatika kwamba akiguswa tu kitu na box (kafika) sio wale ambao wanahitaji nusu saa au mpaka washukiwe huko chini.

Ngono imekuwa sio siri tena katika jamii, kwa maana kwamba somo hili linazungumziwa kwa uwazi zaidi kuliko ilivyokuwa miaka ile wakati mimi nakua au kabla sijazaliwa ambapo ilikuwa mwiko kwa mwanamke kuzungumzia.

Wapo wanaume wachache ambao wanafurahi ikiwa wapenzi wao wa kike wakiwa wazi kusema kile wanapenda/taka kufanyiwa, kuelezea kile wanachotamani, kuelezea hamu zao za ngono/nyege, kusema wapi akishikwa panampa raha au karaha, kumuonyesha kipele kilipo kama umebahatika kuwa nacho n.k.

Sisemi ukitoka hapa basi unamuibukia na kuanza kulalamika kwamba hajali nafasi yako wakati wa ngono au unamchomekea kuwa “toka tumekuwa pamoja sijawahi kusikia utamu wa kutombwa” wakati mnazozana kuhusu watoto au shughuli zenu za kifamilia n.k. hapana, wewe unamfahamu mpenzi wako vema kwa hiyo anza nae taratibu wote mkiwa kwenye hali nzuri kiakili, yaani mmetulia.

Unaweza kuanza kama utani kisha unamchomekea “nyuzi” lakini katika utani au unamsifia alafu unaunganisha jambo ktk kumsifia. Unapofanya hivi uwe makini usifananishe na mwanaume mwingine hata kama ni miaka 20 iliyopita (utaharibu mambo) na wala kumzungumzia shoga yako anavyomsifia/mdharau mpenzi wake. Hapo ni wewe na yeye ndio muhimu kwa wakati huo.

Natambua kuna wakati huwa mnakumbushana mlichokifanya, Iwe mara tu baada ya tendo, masaa machache baada, usiku uliopita au wiki iliyopita hata kama ni mwezi uliopita, jinsi ulivyojisikia au kama alikufanyia jambo jipya n.k. Ikiwa alifanya kama kawaida yake ambayo itakuwa “boring” basi ongeza chumvi tu ili asitoke kwenye mstari.

Hakikisha “chumvi” hiyo inakaribia ukweli(kutokana na alichokifanya) na haivuki ukweli(kutokana na alichokifanya). Mf:- Ikiwa yeye zake ni kuingia moja kwa moja ka’ baa wakati wewe unapenda aingize kichwa tu unamuibukia na hii:-“Abdul jana ulipokuwa ukiniingizia kabla haijaingia yote kuna mahali uligusa pale mwanzo, ili kuwa tamu kweli”,

Ikiwa yeye ni mtu wa ma-“speed” ibuka na hii:-Napenda unavyo fanya haraka alafu “pause unaenda taratibu” unapo fanya hivyo najisikia raha sana”,

Na kama yeye ni mtu wa akigusa kamaliza basi mwambie “napenda unitie kidole/ulimi kwa muda mrefu alafu ndio mboo”.

Sijasema ukaseme hivi ila najaribu kukupa mifano ambayo itakusaidia wewe kufikisha ujumbe bila kuomba moja kwa moja ikiwa mpenzi wako bado haelewi swala la uwazi ktk ngono na anadhani kuambiwa hajui/hawezi ni kumuumiza hisia zake.

Hivi unajua kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliolewa huwa sio wazi sana kama wale ambao hawako ndani ya ndoa? Nimezungumza na baadhi ya wahusika hapo namaanisha wanaume na wanawake walio ndani ya ndoa na kuhoji ni kiasi gani wako wazi katika swala la ngono kati yao.

Baadhi ya “wahojiwa” wanakatabia ka’ kuchepuka nje ya mahusiano yao kwa vile kule huwa hakuna kujibana na kuheshimiana kwa uongo(Uoga) na wanadai kuwa huko hufurahia ngono zaidi kuliko wanapokuwa na wake/waume zao.

Nikang’amua kwamba wanafurahia na kuridhika kule nje kwa vile hakuna mipaka wanapofanyana na pia hakuna “aibu” au kuogopana kwa vile hujaoana na huyo muhusika huko nje na hakutokuwa na maswali umejulia wapi hivi? “Kwanini unataka nikufanyie hivi au vile wakati zamani tulipoanza hukuwa hivi au vile?”, “kwanini nikifanya hivi siku unafika haraka kuliko zamani, ulijaribu wapi?” Yaani yale maswali (mnayajua) ya kutojiamini, mimi nitasema ya kishamba na ya kibinafsi!

Nafahamu kuwa kuna baadhi ya wanawake wangependa kulambwa huko chini
(wanapata story kuwa ni tamu n.k.) lakini wanaogopa kuwa-ambia wapenzi wao kwa kuhofia kufikiriwa vibaya na wapenzi wao lakini wakati huohuo wanatoka nje nakufanyiwa hivyo na wanaume wengine.

Vilevile kuna wanaume ambao wangependa kulamba wapenzi wako huko chumvini lakini kwa bahati mbaya wanakataliwa au wangependa kujaribiwa kulambwa Tigo lakini badala ya kuwa wazi na kusema jinsi unavyojisiki au ungependa kujua utajisikiaje kwa kufanyiwa hivyo huibuka na binti mwingine ili kujaribu na hatimae kuridhika.

Wanasema kuna nguzo tano za kuwa na uhusiano wenye afya (mzuri) na mawasiliano/uwazi ni muhimu kuliko hayo mengine yaliyobaki. Mawasiliano hayako kwenye ngono tu bali kwenye kona zote za uhusiano wenu iwe ni uchumi, afya, maendeleo, familia n.k.


Mwisho kabisa napenda kusema kuwa, wapenzi huwa tunafanya mambo mengi ya ajabu sana (huwezi hata simulia) tunapokuwa tumejifungia vyumbani mwetu ili kufurahia “utukufu wa muumba”, na kama kuta nne zingekuwa zinazungumza basi mengi sana yangezungumzwa kuhusinana na tunayoyafanya tukiwa uchi.

*Hakuna uchafu kwenye ngono ikiwa mnapendana kwa dhati. Zile harufu asilia za miili yetu zinathamani na radha yake sasa kwanini usionje?

*Vimiminiko vyote vya mwili vina maana kubwa kwetu na vinaweza kukufanya upende au upendwe zaidi, sasa kwa nini usinywe/lamba?

*Kila sehemu ya mwili wako ina raha yake sasa kwanini usijaribu kuguswa kila kona nakufanyiwa mambo tofauti?

Kukanda Mwanaume

Kukanda (Massage) Mwanaume

Vipele vya kumyegesha mwanaume viko vingi na sehemu tofauti na hutegemea zaidi na mwanaume mwenyewe na vilevile jinsi wewe utakavyo vitumia/chezea ili kumfurahisha mwenzi wako au "kumnyegesha" (turn on).

Pamoja na utofauti wao wanaume kwa ujumla wanapenda sana kukandwa sehemu ya juu ya mgongo, kiunoni, makalio yao, miguu(hasa vikanyagio) sehemu ya nyuma ya mapaja, ile sehemu ya ndani ya mapaja bila kusahau makende na uume.

Kama mara kwa mara unamkanda a.k.a "massage" mpenzi wako(mwanaume) lakini hata siku moja hajawahi kunyegeka (na wewe ungependa kumnyegesha kwa massage) basi jaribu hii na ninakuhakikishia mambo yatakuwa mazuri kabisa.


Mlaze kifudi-fudi.....kisha mkalie kiunoni (natumai huna uzito wa zaidi ya kg 60) na anza kufanyia kazi sehemu ya kichwa (pembeni kule karibu na macho) huku ukimpa maneno mazuri yakumfanya asahau matatizo yaliyojitokeza kazini au kwenye shughuli zake nyingine za kuendesha kimaisha na kuhamishia akili yake hapo alipo.


Hamishia viganja vyako taratibu sehemu ya shingo...usikae sana hapa.....then hamia mabegani namoja kwa moja mgononi tumia muda wa dk 20 hivi kumkanda mabega na mgongo na wakati huu utapaswa kujiinua kidogo ili uweze kupitisha viganja vyako kiunoni).


Ukimaliza jiondoe hapo juu yake na kisha jiweke katikati ya miguu yake na ipanua miguu hiyo ili upate nafasi ya kufanya shughuli yako. Kwa kutumia mafuta maalum kwa ajili ya "massage" au unaweza kutumia baby oli au lotion yeyote yenye asili ya mafuta (yenye asili ya maji hukauka haraka).

Mwagia kiasi mafuta yao juu ya makalio yake na pitisha viganja vyako kama vile unampaka mtoto (sio kwa nguvu) ukisha eneza sehemu nzima sasa endelea kumkanda makalio yake taratibu na tumia kama dk15-20 alafu shuka taratibu kwenye sehemu ya nyuma ya mapaja yake fanyia kazi paja moja baada ya lingine.


Hongera kwa kumaliza hatua hiyo.....sasa tumia mikono yako laini yenye mafuta kupenyeza pale yalipo mapumbu (akiwa kalalia tumo utayaona) hivyo yakande taratibu usiyavute ikiwa hayajajitokeza sana kwa nyuma....

Kwa kufanya hivyo kutamfanya mpenzi wako aanza kusikia raha zaidi na hivyo atainua sehemu yake hiyo ya nyuma ili kukupa nafasi wewe kuyafanyia kazi makende yake......wewe endelea kuyakanda taratibu huku ukipitisha viganja vyako sehemu ya ndani ya mapaja yake pia(wakati huu itakuwa rahisi kuyafikia kwa vile atakuwa kajiinua).....


Sasa nenda mpaka kwenye uume na ushike kama vile unavyoshikilia "kitwangio" wengine huita Mchi alafu endelea kumkanda sehemu yote hiyo kisha mgeuze taratibu na uendelee na kazi yako yamikono mpaka atakapo omba mambo fulani au endelea namkono mpakama acheke a.k.a amwage.

Maji baridi na Kuzuia Mimba

Maji baridi na Kuzuia Mimba

Kuna ile imani kuwa ikiwa hutumii au hujatumia kinga dhidi ya mimba basi mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi kimbilia bafuni na koga/oga/jiswafi na maji baridi na hivyo hutoshika mimba.

Vilevile kuna watu wanaamini kuwa ukifanya mazoezi fulani au kuru-ruka mara baada ya tendo la kufanya mapenzi bila kinga basi hutoshika mimba.

Wapo pia wanao amini kuwa ukikojoa (sio kilele) mara tu baada ya kufanya ngono bila kinga basi mimba hainasi.


Ukweli: Njia pekee ya kuepuka mimba ikiwa umefanya mapenzi bila kinga na unauhakika mpenzi kamalizia Shahawa zote ndani ni kutumia kidonge kinaitwa "after morning pill" a.k.a "emergency contraceptive" ambacho kimepewa 95% kufanya kazi ipasavyo ikiwa kitamezwa ndani ya masaa 24 toka tendo(Shahawa kuwa ndani), lakini kina weza kumezwa ndani ya masaa 72 ambayo ni sawa na siku tatu na ufanyaji wake kazi unapungua jinsi masaa yanavyopungua.


Mfano kikimezwa baada ya masaa 24 utandaji wake wa kazi utakuwa ni mdogo kiasi cha asilimia 58 na uwezekano wa mimba kutengenezeka unakuwa mkubwa.

Unatakiwa kuwa mwangalifu wakati wa kufanya mapenzi hasa kama huna mpango wa kuwa mama au baba kwa sasa, vidonge/kidonge hiki sio njia ya kudumu ya kuzuia mimba nikiwa na maana huwezi kucheza peku kila siku ukitegemea kumeza "after morning pill" inamadhara kwa afya yako.

Tumieni Condom ili mfanye kwa kujiamini zaidi.....

Makala zinazofanana


Njia za kuzuia mimba

Tumia Condom

Kutumia kondom ya wanaume

Mapenzi salama

Mimba na uzazi

Mpenzi wangu hataki kuvaa kondomu

Kutumia kondom ya wanawake

Monday, March 30, 2009

Miguu na Ngono

Miguu

Wanawake wanatembea tofauti kutokana na jinsia zao, hii ni kutokana na wanawake kuwa na "nyonga" pana kuliko wanaume ambayo huwasaidia wakati wa kujifungua.

Utumiaji wako wa miguu unaweza kutuma ujumbe tofauti wakati unatembea kama vile
-umeshoka,
-unaumwa,
-mvivu,
-unajisikia "sexy" au unajiamini na bila kusahau -kumtaka mtu au kutomtaka.

Miguu ya kukanyagia(feet) hutumiwa kabla (kama sehemu ya romance/kuchezeana/nyegeshana) na wakati wa kufanya mapenzi.

Unapofanya mapenzi mwanamke ukiwa chini unakunja miguu yako nakuipumzisha makalioni mwa mpenzi wako aliye juu akiendelea na "shughuli" na kisha jaribu kupiga au kukanda makalio ya mumeo/mpenzi wako hali itakayo muongezea raha (inategemea na mwanaume), pia unaweza kuitumia miguu hiyo kumkanda sehemu za miguu na mapaja wakati mnatiana, hivyo ni muhimu kuitunza miguu yako ili iwe katika hali nzuri, laini na yenye afya.

Wanawake wanavutia zaidi wakitembea juu ya viatu vyenye visigino virefu...unajua ni kwanini?

Kwa sababu unapovaa kiatu kirefu (kisigino kirefu) utahitaji ku-balance uzito wa mwili wako kwa kukaza misuli ya miguu hasa sehemu ya chini(feet) hali itakayo sukuma nguvu kwenye misuli ya miguu (legs) hali itakayofanya miguu yako iwe na umbile fulani hivi ambalo litakwenda sambamba na kunyoosha mgongo wako-kifua kwenda mbele-mabega nyuma kiasi, kiuno na makalio kubinuka kwa nyuma kiaina alafu "speed" ya kutembea itaongezeka kitu ambacho kitahashiria kujiamini kwako hali ambayo ndio u "sexy" wenyewe.

Ngono ni sanaa

Uume a.k.a kibamia,Tango

Uume a.k.a kibamia/Tango


Uume kama zilivyo sehemu nyingine za mwili wa wako inapaswa kutunza vema, kusafishwa, kupakwa mafuta/lotion kama unavyopaka sehemu nyingine za mwili ili kuilainisha kwani ikiwa kavu inaweza kusababisha majeraha ukeni au maambukizo ikiwa ni pamojana NGOMA.....fikiria kitu kikavu kina "magwambala" au niseme ngozi ngumu/mipasuko kinaingizwa ukeni ambako ni kulaini kuliko ngozi ya mtoto!

Vilevile mboo hufanyiwa mazoezi ili kuimarisha misuri, kukuza misuri (kwa wale wenye kujihisi kuwa mboo zao nyembamba ukifanya mazoezi yanayokwenda sambambana kujichua inasemekana kitu kinanenepa).

Pia mazoezi ya uume husaidia kuweza kujizuia na kwenda mwendo mrefu zaidi kuliko ile "ukigusa umecheka", mazoezi hayo husaidia kumuongezea raha mpenzi wako ikiwa utachezeza uume wako wakati uko ndani hasa pale anapokuwa anamalizia kufika kileleni (kutokana na uzoefu).

Misuli ya uume ikizoea mazoezi basi unaweza kabisa kufanya mapenzi bila kutumia misuli ya sehemu nyingine za mwili wako kama vile matako na tumbo wakati wa kusukuma kiungo (mboo) ndani, mikono, mapaja na miguu ku-support uzito wako wakati upo juu ya "mamsap".

Jinsi ya kunyonya uume

Ngono ni sanaa

Matiti na kungonoka

Matiti na kungonoka

Matiti yanawakilisha "comfort", Ulinzi, mapenzi/upendo," compassion", vilevile "manyonyo" hayo ni alama ya ujinsia wa wanawake na si hivyo tu bali sehemu hii ya mwili inamfanya mwanamke "anyegeke" vema na kwa urahisi bila kujali utofauti (kila mwanamke ana kona zake za kunyegeka lakini matiti yanatoa "ashiki" sawia kwa wote unless mwanaume hajui wajibu wake).

Wengi huamini kuwa matiti ni kwa ajili ya kunyonyesha mtoto au chakula cha mtoto, lakini ukweli ni kwamba 1/3 ya tissue inayotengeneza titi ndio inahusika na uzalishaji wa maziwa na sehemu iliyobaki (yaani ule mviringo au "cup") ni maalumu kabisa kwa ajili ya ngono.

Adui mkubwa wa sehemu hii ya mwili ni kupoteza ile hali ya u-firm na kulala hali inayosababishwa na mabadiliko ya mwili wako jinsi unavyokuwa na vilevile kutojua jinsi ya kuyatunza au kuyajali hasa ulipokuwa ktk umri mdogo. Acha kile kipindi cha titi moja kujitokeza na kutoweka kama mara 4 hivi bali ule wakati yote mawili yamejitokeza.

Vile utunzwaji wa matiti na kuyajali ni muhimu pia kabla ya hedhi na wakati wa hedhi kwani ktk kipindi hicho matiti huongezeka uzito nahivyo kuhitaji "support" ili yasielemee kwa chini, vilevile matiti yanahitaji "support" unapokuwa mjamzito kwa vile huongezeka ukubwa na uzito pia.

Ifahamike kuwa matiti hayana misuli hivyo ikiwa hujaya zoesha kubaki pale yalipo kutokana na mtindo wa kulala, kufanya mazoezi kama vile kuogelea na mazoezi mengine ya misuli ya kifua, mikono bila kusahau "support" kwa kuyavalia sidilia tangu ulipokuwa yakijitokeza, ukafikia hedhi, wakati wa ujauzito na hatimae kuwa mama (kunyonyesha) basi nasikitika kusema kuwa hakuna njia asilia ya kurudisha u-firm wake.


Matumizi ya matiti ktk Ngono.


Titi lote halina raha kama Chuchu (kiungo kidogo lakini mambo yake ni makubwa), Chuchu ikichezewa kwa kidole au ulimi kama vile inapigwa brashi a.k.a katerero hutoa msisimko wa ajabu sana kwa mwanake.

Chuchu hiyo hainyonywi kwa kuvuta (kama unataka maziwa yatoke) bali inayonywa katika mtindo wa kubusu, vilevile mwanaume ukitaka mpenzi wako afike haraka basi wakati uko juu yake (kifo cha mende) pindisha shingo na mtie huku unamnyoya chuchu yake.....natumaini una uwezo wa kufanya kazi zaidi ya moja wakati unafanya mapenzi....

Soma hapa kwa jinsi ya kutunza matiti

Ngono ni sanaa

Masikio na ufanyaji wa ngono-mapenzi

Masikio na ufanyaji wa ngono/mapenzi

Inasemekana unapopoteza fahamu ni masikio pekee huwa nauwezo wa kutambua sauti tofauti hasa za wale uliokuwa ukiwapenda au bado unawapenda na ndio maana mtu anapokwenda “Coma” a.k.a kupoteza fahamu mara nyingi mpenzi au mtu ambae watu wengine wanajua unampenda hutumiwa kuzungumza/kuongea na wewe ili kusaidia fahamu zirudi…..

Vilevile masikio ya kwanza kujitokeza/kuibuka/chomoza au kwa kizungu develop ndani ya siku saba baada ya mimba kutungika (kama mimba imeingia leo basi in 7 day tokea leo masikio ya mtoto yanaanza kuchomoza) na baada ya miezi mine na nusu sikio linakuwa limekamilika.


Na kwa wale wapenzi wanaopenda kutoa mimba bila sababu (sikutishi ila ni ukweli ) basi mjue wazi kuwa mnapojadili kufanya hivyo kiumbe huwa anasikia….inatisha eti eeh!

Kama ilivyo macho sikio hukuwezesha wewe kupata ujumbe kutoka kwa mpenzi wako au mtu yeyote, ukijua kutumia masikio yako vema na kusoma mapigo yake ya moyo, tofauti ya sauti zake tunaita “tune” na pumzi yake basi unaweza kutambua anapokudanganya, akiwa amechoka, hataki/anakuta, hakupendi/anakupenda, anaficha kitu, amefanya kosa na linamsumbua akilini, “kanyegeka” au bado, amefika kileleni au anazuga n.k.

Ngono ni sanaa

Sunday, March 29, 2009

Maji baridi na Kuzuia Mimba

Maji baridi na Kuzuia Mimba

Kuna ile imani kuwa ikiwa hutumii au hujatumia kinga dhidi ya mimba basi mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi kimbilia bafuni na koga/oga/jiswafi na maji baridi na hivyo hutoshika mimba.

Vilevile kuna watu wanaamini kuwa ukifanya mazoezi fulani au kuru-ruka mara baada ya tendo la kufanya mapenzi bila kinga basi hutoshika mimba.

Wapo pia wanao amini kuwa ukikojoa (sio kilele) mara tu baada ya kufanya ngono bila kinga basi mimba hainasi.


Ukweli: Njia pekee ya kuepuka mimba ikiwa umefanya mapenzi bila kinga na unauhakika mpenzi kamalizia Shahawa zote ndani ni kutumia kidonge kinaitwa "after morning pill" a.k.a "emergency contraceptive" ambacho kimepewa 95% kufanya kazi ipasavyo ikiwa kitamezwa ndani ya masaa 24 toka tendo(Shahawa kuwa ndani), lakini kina weza kumezwa ndani ya masaa 72 ambayo ni sawa na siku tatu na ufanyaji wake kazi unapungua jinsi masaa yanavyopungua.


Mfano kikimezwa baada ya masaa 24 utandaji wake wa kazi utakuwa ni mdogo kiasi cha asilimia 58 na uwezekano wa mimba kutengenezeka unakuwa mkubwa.

Unatakiwa kuwa mwangalifu wakati wa kufanya mapenzi hasa kama huna mpango wa kuwa mama au baba kwa sasa, vidonge/kidonge hiki sio njia ya kudumu ya kuzuia mimba nikiwa na maana huwezi kucheza peku kila siku ukitegemea kumeza "after morning pill" inamadhara kwa afya yako.

Tumieni Condom ili mfanye kwa kujiamini zaidi.....

Makala zinazofanana


Njia za kuzuia mimba

Tumia Condom

Kutumia kondom ya wanaume

Mapenzi salama

Mimba na uzazi

Mpenzi wangu hataki kuvaa kondomu

Kutumia kondom ya wanawake

Macho na ufanyaji wa ngono

Macho na ufanyaji wa ngono

Macho hukupa ujumbe ambao hauja haririwa yaani unaupata ujumbe huo haraka ambao ni halisi na ulio wazi pia ni wa kweli na kwa undani kuliko maelezo.

Kuna aina nyingi tofauti za kutazama/angalia na hivyo ujumbe unaotolewa kutokana na kuangalia kwako huwa tofauti pia. Sasa kwa vile hapa tunaegemea zaidi kwenye mapenzi na ngono sinabudi kuegemea kwenye ule utazamaji
-wa kimahaba,
-wa kuita,
-wa kutamani,
-wa kushawishi,
-kutia ashiki (nyege) n.k.

Macho yanakuwezesha wewe kutambua wazi kuwa mpenzi wako anakupenda, anafurahia raha au utamu wa kufanya mapenzi. Kama wewe unaishi na mpenzi wako (wenza) iwe mko kwenye ndoa au mnaishi tu kama "partners" au hata kama unakuwa na mpenzi wako mara moja kwa wiki lakini huwa analala kwako au kutumia muda wake kuwa pamoja na wewe. Utakubaliana nami kuwa pale mnapopeana busu wakati mnakwenda kulala huwa mnaangaliana na na hakika huwa unahisi kuwa mpenzi wako anakupenda kwa kuyaangalia macho yake tu....bila kusema neno unajua kabisa kuwa binti/kijana hapa kafika!

Vilevile ukiamka asubuhi na kugonganisha macho (natumani wewe sio wale wake/waume wa kukurupuka bila hata salamu eti kwa vile tumelala pamoja)....jamani hatuendi hivyo....show some love kha!

Anyhow, unapogonganisha macho na mpenzi wako kumsabahi kwa busu la asubuhi bila kupiga mswaki (hahahaha ni zuri sana hilo kwani ni natural hahahaha ila sio la ulimi utaharibu siku ya mwenzio), unapata ujumbe wa jinsi gani mwenzio anakupenda.....wakati mwingine unapata ile "siwezi kuishi bila wewe kind of look".

Yatumie macho;
Mkiwa uchi mke kaa juu ya kitanda kwa kuangaliana, tumieni macho yenu kuwasiliana bila kufungua mdomo kisha anzeni kushikana na kubadilishana mabusu na hatimae kubadilishana ndimi zenu a.k.a kulana denda, kulambana nakushikana kona nyingine mnazopenda kushikana........huku mkiangaliana.

Mtakapo kuwa tayari fanyeni mapenzi na "mkao" mzuri wa kutumia macho ni "kifo cha mende" mwanamke juu huku mkiendelea kuangaliana machoni, mwanamke jaribu kujiinamisha kiasi usono kwa mpenzi wako ili uweze kuwa unabusu/kula denda every now and then nakumbuka kubadilisha "rythim".....mfano zunguusha kiuno the same way unazunguusha ulimi wako mdomoni au kwenye ulimi wa mpenzi wako (kwa wakati mmoja) mpaka mmoja wenua anafika au mnafika kwa pamoja....

Hakika utahisi tofauti ya utamu (wa kifika kileleni) ukilinganisha na siku nyingine ambazo huwa hamatazamani.


Ngono ni sanaa



Usafi wa Matako na Uke

Usafi wa Matako na Uke!


Kawaida ya mwanawake sio wa Kibongo tu bali hata yule wa Ulaya,Uchina,Uarabu na Umarekani hujali zaidi ngozi ya uso na akijitahidi sana itakuwa sehemu zinazoonekana kwa urahisi kama vile shingo, mikono, viganja na ngozi ya miguu.

Lakini maeneo kama tumbo na makalio huwa havijaliwi sana (sizungumzii mkorogo hapa tafadhali) nazungumzia ile hali kawaida ya kujali ngozi na kuwa msafi ktk maeneo hayo muhimu.

Unajua mwili wako mwanamke umeumbwa kuvutia kutokana na ile “mituno” asilia inayokufanya uwe tofauti na mwanaume hapo nina maana matiti, hips na matako.

Mituno hii huvutia ukiwa umevaa nguo na kufanya mtazamaji apendezwe na kuvutiwa lakini je akiondoa hizo nguo mituno hiyo itakuwa kama vile anavyofikiria?


Utunzaji/usafi wa matako na “hips” kwa njia ya asili.


Sote tunafahamu kuwa ngozi ya maeneo hayo sio sawa na ile ya sehemu nyingine ya mwili, maeneo haya hukabiliwa na vipele Fulani hivi vigumu, baadhi hupauka kuliko na wengi hukabiliwa na michirizi.


Hakikisha kuwa unasugua sehemu hiyo ya mwili wako kwa kutumia machicha ya nazi au unga wa mmea wa liwa kusugua maeneo hayo, fanya hivyo mara moja kwa wiki kama unamudu na una senti za kununua nazi na liwa basi unaweza fanya hivyo kila siku (ila mara moja kwa wiki inatosha kabisa kukupa ulaini wa sehemu hizo na kuondoa mpauko na vipele uzembe).

Njia nyingine kwa wewe mwenye ngozi ya mafuta ni kujisugua sehemu hizo kwa kutumia pumba za maindi au unga wa dona (mahindi yaliyosagwa bila kukobolewa/ondolewa ngozi)….

Vilevile hakikisha jamaa anamwaga kwenye makalio yako wakati wa ngono sio kila siku ndani tu au kwenye kondom kwani manii huboresha ngozi ukipaka kama mafuta/lotion ikiwa Jamaa lako choyo na shahawa zake basi wewe kula mboga za majani na kunywa maji kwa wingi na wakati huohuo unayasugua mapele hayo...

Hakikisha unasafisha na maji na unamalizia kupaka mafuta/lotion kila unapomaliza kuoga au kusugua makalio yako.

Usafi wa makalio sio kwenye mapele na ukavu tu bali kuna vile vinywele hujiotea kwenye mstari wa “ikweta” kuelekea au kuzunguuka sehemu ya kutolea haja nzito, wengi ambao hawashukiwi chumvini au hawabong’oi (hawafanyi mbuzi kagoma n.k) nasikia huwa hawajali ama hawajui kabisa kuwa wana nywele huko………huruhusiwi kucheka wala kushangaa hapo!

Mwanamke, hata kama hupindi/binuka harufu itasikika, huenda wewe huisikii kwa vile umezoea lakini mpenzi wako atavuta harufu hiyo yenye utata (mchanganyiko wa jasho, ute na mavi) hivyo hakikisha huto tunywele tunaondolewa kila tunapojitokeza hata kama wewe ni mtu wa kifo cha memde tu.

Kuma a.k.a Mbunye a.k.a Sambusa a.k.a Kidude....

Kuma a.k.a Mbunye a.k.a Sambusa a.k.a Kidude....


Uke au Kuma ni mwanzo wa kuwepo kwetu na vi levile ni mlango wa sisi sote kuwepo hapa Duniani……sina shaka ndio maana wanaume wakiwa wakubwa wataka kurudi walikotoka kwa njia hiyohiyo kupitia wapenzi wao ... natania tu hehehehe

Baadhi ya wanaume wanafananisha sehemu hii na mdomo kwa kusema kuwa usipokuwa muangalifu wakati unacheza na “lips” mdomo hufunguka na kutoa makali yake (ute) na kisha kukumeza mzima-mzima...hahaha

Kwa kawaida mwanamke huamini kuwa yeye ndio anachukuliwa na mwanume linapokuja swala la kuingiliana kimwili au kufanya mapenzi/ngono , lakini katika hali halisi mwanamke wewe ndio unaemchukua/mmeza/mla mwanaume pale anapokuingizia uume na kisha kuubana/kamua na hatimae anatoa “chakula” au mbegu (manii/shahawa) zinazokufanya ushibe (kuwa mjamzito).

Hivyo kile kitendo cha mwanaume kumwaga alafu uume unapoteza “uhai” wake ni sawa sawa na wewe kummaliza/ua(kumla).

Uke una maeneo matano ambayo yanamfanya mwanamke apate raha na hatimae utamu ikiwa yatafanyiwa kazi ipasavyo, na maeneo hayo ni
-kisimi,
-mwanzo wa uke,
-kuta za uke,
-kipele G na
-eneo la mwisho wa uke.

Soma hapa kwa maelezo zaidi juu ya hayo maeneo matano


Kila eneo lina utamu wake wa kipekee ambao unatofautiana na utagundua hilo ikiwa wewe ni mtu unaependa tendo hili (hulifanyi kama wajibu), ikiwa unafurahia kufanya mapenzi, mdadisi na mwepesi kujifunza basi unaweza ukajaribu kuchezea maeneo hayo kwa kushirikiana na mpenzi wako……utapata uzoefu mzuri ikiwa utajaribu maeneo yote kwa siku moja ili kutofautisha vema.


Uke unatunzwa kama yalivyo maeneo mengine ya mwili au pengine zaidi,
-uke unafanyiwa mazoezi ili kubaki umekaza,
-uke hupakwa mafuta/lotion kuondoa ukavu kama sehemu nyingine ya mwili ika usijaribu kuyaingiza ndani bali paka sehemu ya juu ya uke (pale mavuzi yanaota na maeneo mengine ya karibu),
-uke husafishwa kwa ndani kuondoa utoko na mabaki ya damu wakati wa hedhi.


Sehemu hii ya mwili wa mwanamke hutanuka na kujirudi lakini ikumbukwe tu kuwa unapojifungua zaidi ya mtoto mmoja kwa njia ya asili uke huo huongezeka upana na kupoteza hali yake ya kukaza, kwamba misuli yake hulegea na hivyo kuhitaji mazoezi ya ziada ambayo wazazi huelekezwa mara baada ya kujifungua.


Uke pia hupoteza hali ya kukaza ikiwa mwanamke alianza ngono mapema kabla misuli yake haijakomaa (inasemekana chini ya miaka 20), ktk umri huo mdogo the more unatiana the bigger uke wako will get na unapofikia umri mkubwa sasa, kwamba mwili wako umetengenezeka na mabadiliko yameisha uke wako utabaki kuwa vilevile mpana kwani mabadiliko na ukomavu wa misuli umetokea wakati tayari sehemu hiyo imepanuka (umeizoesha hivyo) na mwili wako utaitambua sehemu hiyo kama ilivyo (pana) na sivinginevyo.


Baadhi huamini kuwa watu huzaliwa hivyo lakini ukweli ni kwamba, mwanamke kuwa na uke mpana kabla hujazaa kuna uhusiano mkubwa na ngono kabla ya muda….wachunguzi wa mambo haya wanadai utafiti unaonyesha kuwa wanawake Ulaya wana Kuma kubwa/pana kwa vile ngono wanaianza wakiwa na umri wa miaka 13 au chini ya hapo……

Je unauhakika unaijua Kuma yako? Au wewe ni mmoja kati ya wale wanaoambiwa jinsi walivyo huko chini na wapenzi wao?

Acha hizo, ni mwili wako usijiogope, chukua kioo jichunguze, jishike, jifunze, tafuta na kuhakiki kama vile vitu ulivyosoma kwenye elimu viumbe kuhusu Uke kweli unavyo…..

usisahau kusoma

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Jinsi ya Kufurahisha mwanamke Katika Ngono

Chumvini-Kunyonya Kuma

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

Friday, March 27, 2009

Usafi wa Matako na Uke!

Usafi wa Matako na Uke!


Kawaida ya mwanawake sio wa Kibongo tu bali hata yule wa Ulaya,Uchina,Uarabu na Umarekani hujali zaidi ngozi ya uso na akijitahidi sana itakuwa sehemu zinazoonekana kwa urahisi kama vile shingo, mikono, viganja na ngozi ya miguu.

Lakini maeneo kama tumbo na makalio huwa havijaliwi sana (sizungumzii mkorogo hapa tafadhali) nazungumzia ile hali kawaida ya kujali ngozi na kuwa msafi ktk maeneo hayo muhimu.

Unajua mwili wako mwanamke umeumbwa kuvutia kutokana na ile “mituno” asilia inayokufanya uwe tofauti na mwanaume hapo nina maana matiti, hips na matako.

Mituno hii huvutia ukiwa umevaa nguo na kufanya mtazamaji apendezwe na kuvutiwa lakini je akiondoa hizo nguo mituno hiyo itakuwa kama vile anavyofikiria?


Utunzaji/usafi wa matako na “hips” kwa njia ya asili.


Sote tunafahamu kuwa ngozi ya maeneo hayo sio sawa na ile ya sehemu nyingine ya mwili, maeneo haya hukabiliwa na vipele Fulani hivi vigumu, baadhi hupauka kuliko na wengi hukabiliwa na michirizi.


Hakikisha kuwa unasugua sehemu hiyo ya mwili wako kwa kutumia machicha ya nazi au unga wa mmea wa liwa kusugua maeneo hayo, fanya hivyo mara moja kwa wiki kama unamudu na una senti za kununua nazi na liwa basi unaweza fanya hivyo kila siku (ila mara moja kwa wiki inatosha kabisa kukupa ulaini wa sehemu hizo na kuondoa mpauko na vipele uzembe).

Njia nyingine kwa wewe mwenye ngozi ya mafuta ni kujisugua sehemu hizo kwa kutumia pumba za maindi au unga wa dona (mahindi yaliyosagwa bila kukobolewa/ondolewa ngozi)….

Vilevile hakikisha jamaa anamwaga kwenye makalio yako wakati wa ngono sio kila siku ndani tu au kwenye kondom kwani manii huboresha ngozi ukipaka kama mafuta/lotion ikiwa Jamaa lako choyo na shahawa zake basi wewe kula mboga za majani na kunywa maji kwa wingi na wakati huohuo unayasugua mapele hayo...

Hakikisha unasafisha na maji na unamalizia kupaka mafuta/lotion kila unapomaliza kuoga au kusugua makalio yako.

Usafi wa makalio sio kwenye mapele na ukavu tu bali kuna vile vinywele hujiotea kwenye mstari wa “ikweta” kuelekea au kuzunguuka sehemu ya kutolea haja nzito, wengi ambao hawashukiwi chumvini au hawabong’oi (hawafanyi mbuzi kagoma n.k) nasikia huwa hawajali ama hawajui kabisa kuwa wana nywele huko………huruhusiwi kucheka wala kushangaa hapo!

Mwanamke, hata kama hupindi/binuka harufu itasikika, huenda wewe huisikii kwa vile umezoea lakini mpenzi wako atavuta harufu hiyo yenye utata (mchanganyiko wa jasho, ute na mavi) hivyo hakikisha huto tunywele tunaondolewa kila tunapojitokeza hata kama wewe ni mtu wa kifo cha memde tu.

Siku ya kwanza

Siku ya kwanza!


Mara ya kwanza ni kwa bikira na siku ya kwanza ni kwa wale waliokwisha anza kushiriki tendo la watu kabla ya ruhusa kwa mujibu wa imani zetu za kidini a.k.a ndoa.

Unapoanzisha urafikia au unaporafikiana na mtu kimapenzi ni vema kama utasubiri na kumfahamu vema mtu huyo vizuri kabla hamjachojoana.

Lakini kama mnafahamiana vizuri na mkaamua kubadilishiana kibao na kuwa wapenzi mara nyingi hapa huwa hakuna subiri-subiri unasikilizia nature a.k.a Chemistry" inavyokusukuma dhidi na huyo rafiki ambaye ni mpenzi......

Swala muhimu kwa mwanamke ni kutulia (sio ubaki ka' gogo) bali jaribu kwenda au kufuata mtiririko. Siku ya kwanza ni siku ya kumjua mpenzi mpya......mkubwa/dogo kiasi gani, akiingiza je anaingia "deep" kiasi gani?,anafanya "kivita" "kimimi-mimi" au "kiromantiki" n.k

Usikimbilie kubinuka-binuka hata akiomba "doggy" mwambie siku nyingine na mtindo unaopaswa kuufanya siku hiyo ni kifo cha mende.

Kifo cha mende (mwanamke juu) ndio mkao asilia, rahisi, “comfortable” na utakao kuwezesha kumjua mwenzio kama unavyofahamu kuwa sote huwa tunakumbwa na hofu Fulani ambayo inaweza kuwa umsafi kiasi gani, uvutiaji wa mwili wako ukiwa mtupu, unavyobusu ndivyo au sivyo……siku ya kwanza na mpenzi mpya haina tofauti sana na siku ya kwanza shuleni au kazini.

Ni mwiko siku ya kwanza kumshukia/nyonya/lamba chini (kama unapenda hivyo) na badala yake tumia vidole na mikono yako kuchezea “bidhaa zake”, tumia muda mwingi kwenye kubusu na kulamba kona za mwili wake (kama huzijui basi bahatisha kwa kulamba kuanzia chini ya kidevu-shingoni-kifuani-tumboni-mbavuni na uishie kiunoni).


Kuna baadhi huofia kuwa wasipoolakini baadhi ya wanaume huwa wanahofia zaidi utendaji wao siku hiyo, wao hufanya kila wawezalo kuhakikisha wamekufurahisha na umeridhika hiyo ndio hofu yao kuu hivyo huitaji kujituma sana siku hiyo.


Ikiwa anakufanya vizuri usione soo kushukuru kwa kutaja jina lake, kuguna na kuhangaika kwa raha (utamu ukikolea unajikuta unazunguusha tu kiuno) au kumwambia kuwa ni tamu, raha, ongeza n.k.


Mwanaume akijua amekufurahisha na umeridhika (sio kwa ku-fake lakini) huwa anafurahi (mambo ya Ego) na kama alikuwa na hisia za mapenzi dhidi yako ni wazi kuwa zitaongezeka.


Mwanaume ulieanza kurafikiana nae na kujenga hisia za mapenzi baina yenu kamwe hawezi kukukimbia kwa vile hukumonyesha ujuzi wako jana, kwamba anadhani ndivyo ulivyo kuwa hujui kitu……mwanaume huyo mwenye hekima ataelewa kuwa ni siku ya kwanza na pia kama kweli ana nia na wewe basi atakuwa tayari kujifunza na wewe……


Wanaume wengi watulivu (sio Players) hupenda kuwa in-control, huumia kwa ndani (emotionally) ikiwa utamuonyesha utundu siku hiyo na yeye akaonekana hajui kitu mbele yako “mwanamke”……unatakiwa ku-“play cool”

Shahawa zinaniwasha....

Shahawa zinaniwasha....


Jibu:Kwa kawaida Shahawa haziwashi au hata kusababisha muwasho unless hupatani nazo yaani uwe na aleji(Allergy to Semen/Sperm), kitu nitakachoweza kuhisi kuhusiana na tatizo lako ni maambukizo ya Fangazi/si au wengine huiita “Yeast” kitaalamu inajulikana kama “Candida Albicans” ambapo ule ukakasi/uchachu (unategemea na lishe ya mpenzi wako) unapoingia kwenye vijipasuka/vipele vilivyopasuka kwa ndani husababisha muwasho.
Nakushauri unamuone Daktari ili akupime (atahitaji mkojo au swab ya majimaji huko ukeni) kisha atakushauri na kukupa matibabu kutegemeana na tatizo alilotambua kwenye vipimo vyake.

Afya ya uke ni muhimu sana kuliko hata kinywa au uso wako na unatakiwa mwangalifu wakati unatumia sabuni, maji (chemsha ili kuwa na uhakika), vifaa unavyotumia kujisafishia ukiwa Gym au kama unaishai nyumba za kupanga zenye Kopo/bomba moja chooni, choo kwani kuna vyoo vimejaa kiasi kwamba ukichutama sehemu zako nyeti zinatishia kugusa vinyesi vya watu wengine, taulo la kujifutia na hata uchangiaji wa nguo za ndani (hata kama unafua kwa Jick) still unakuwa kwenye hatari ya kuambukizwa bila kujijua.


Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa usijisikie vibaya kwenda kumuona Daktari Bingwa wa Magonjwa ya kike kwa ushauri wa kitibabu hali kadhalika dawa, kwani dawa zinapatikana kwa wingi na nyingine zinaozea stoo kwa vile wanawake wanaona aibu kwenda kuomba ushauri ili kupata matibabu.

Magonjwa ya ngono kwa wanawake ukiachilia yale makuu kama kisonono, kaswende, HIV n.k. yapo mengine madogo madogo ambayo sio lazima uyapate kwa kufanya ngono bali kwa njia nyingine zitokananzo na mitindo ya maisha tunayoishi, kutokujua/kutokujali afya ya uke, mabadiliko ya homono hasa kama wewe ni mtumiaji wa madawa ya kuzuia mimba n.k.

Shahawa sio uchafu

Shahawa sio uchafu


Ktk swala zima la kufanya mapenzi/ngono na mpenzi huwa tunajikuta tunafanya vijimambo vya ajabu sana ambayo ukimuelezea mtu anaweza akakuona "wewe namna gani?" lakini ktk hali halisi tunayafanya hayo mambo kwa mapenzi yetu yote na pengine tunapata raha fulani ktk kufanya hivyo vijimambo.

Sasa kwenye hivyo vijimambo vingi tuvifanyavyo kuna hiki kimoja nimekichagua ambacho ni kitamu sana (sio kama pipi au asali bali utamu ule wa kimapenzi) na kitakachokusogeza karibu zaidi na mpenzi wako nacho ni kuthamini Shahawa za mpenzi a.k.a cum a.k.a manii a.k.a maziwa a.k.a krimu (as cream) kwa kuzichezea, kuziramba, kuzipaka mwilini n.k.

Natambua kuwa wengi hushindwa kuwa huru kucheza na "kimiminika" hicho kutokana na harufu yake kali au kwa vile wanaume wenyewe wanaziona/chukulia Shahawa zao kama uchafu. Sikia, chochote kinachotoka mwilini mwa mpenzi wako unaempenda kwa dhati kama matokeo ya kufanya mapenzi (jasho, "cum", mate n.k.) sio uchafu.

Nitakupa maelezo mafupi ya nini chakufanya ili Shahawa zako zisiwe na shombo kali wewe mwanaume na kwa mwanamke nitakuambia namna ya kujifunza kucheza, kulamba na hatimae kujaribu kumeza shahawa bila kusahau faida ya Shahawa.

Mwanaume-Unapaswa kuangalia lishe yako na nini unakunywa(kama utaweza achana na bia na badala yake kunywa maji mengi zaidi) ili kuondoa shombo ya Shahawa na hivyo iwe rahisi kwa mpenzi wako kucheza nazo, onyesha unazijali nakuzipenda ili mpenzi wako azipende pia (ukidhani ni uchafu na zinatoka kwako...mtu mwingine atafanya nini?).

Acha kabisa tabia ya kukimbilia bafuni kuoga au kusafisha "kiungo" au kukimbilia kitambaa/tissue kila baada ya mzunguuko na badala yake baki hapo na onyesha unazithamini kwa kuzishika na kuzipaka juu ya ngozi yake (pale ulipomalizia).

Mtakapo maliza mizunguuko yenu na mmetosheka ndio mnakwenda kuoga/safisha wote......mpango wa kuoga kila baada ya kumwaga sio tu unamkosha mwanamke haki yake kitandani bali pia kunamjengea dhana potofu kuwa Shahawa ni uchafu.


Mwanamke-Unatakiwa kujifunza taratibu na jinsi siku zinavyoenda ndivyo ambavyo utakuwa ukizoea, kitu cha kwanza unacho paswa kufanya ni kuziona zinavyotoka hivyo hakikisha unaangalia uume pale ambapo mwanaume anamwaga mahali popote kitandani au hewani.


1.Mruhusu au ruhusu amwage mwilini mwako, iwe ni kwenye matiti, kwenye makalio, tumboni, kifuani, usoni au juu ya uke wako (akikisha haziteremki ukeni ikiwa huna mpango wa “kumimbwa”) na zikiwa mahali hapo jaribu kuzishika/chezea kwa mikono yako kwa kuzipaka-paka au kuzisambaza sehemu nyingine ya mwili wako.


2.Utakuwa umeshazizoea kuziona, kuzishika na kuzinusa na hivyo itakuwa rahisi kwako wewe kujua una “deal” na “kimiminika” kizuri kitokako kwa mpenzi wako mara baada yakufanya tendo “takatifu”.
Tumia kidole/vidole vyako kuchovya Shahawa na kisha zilambe (hakikisha una kinywaji chenye uchachu au tunda lenye uchachu kama vile embe, chungwa, nanasi n.k.) na mara baada ya kulamba kula tunda lako (najua bado ile kasumba kuwa ni uchafu itakuwa inakumbua hivyo kula kipande cha tunda itakusaidia kuondoa utelezi mdomoni mwako).


3.Andaa vipande vya matunda matamu lakini yenye asili ya uchachu kama embe, nanasi au strawberries na kisha mpe mkono (mchue) au mdomo (BJ) mpenzi wako na muombe amwagie Shahawa juu ya vipande vya matunda yako na kisha kula matunda hayo yakiwa na “cream” na ninakuhakikishia utakuwa umemfurahisha mpenzi wako na atahisi kuthaminiwa sana na wewe bila kusahau hisia nyingine za kimapenzi juu yako zitaongezeka.


4.weka uume mdomoni wakati mpenzi anamwaga Shahawa.
Kama nilivyosema awali hakikisha kuwa pembeni mwa kitanda au mahali mnapofanyia mapenzi kuna matunda yenye asili ya uchachu au kinywaji chochote chenye asili hiyo na kula au kunywa mara tu baada ya kumeza shahawa kwani huwa zina ukakasi Fulani kooni na kwa kula tunda au kunywa kijwaji kitamu na chenye uchachu kitasaidia kuondoa ukakazi huo.


Faida ya Shahawa-Hufanya ngozi yako kunawili na kuwa laini na mororo/nyororo ikiwa utakuwa na tabia ya kuzipaka juu ya ngozi yako kama “cream au Lotion”.

Hasara-Kuwa hatarini au kuambukizwa Magonjwa ya ngono ikiwa ni pamoja na UKIMWI.

Utata-Shahawa haziondoi chunusi usono au mahali pengine popote kwa vile ni protini sio asidi lakini inaondoa vipele au ukavu wa ngozi nakuifanya iwe laini, hivyo kama unachunusi ni wazi kuwa ngozi yako mahali hapo ni ya mafuta kw hivyo hutakiwiwi kuongeza kitu chenye mafuta au protini.

Shahawa na Mimba

Shahawa na Mimba

Baadhi ya watu wanadhani au wanaamini kuwa Shahawa huishi ndani ya mwili wa mwanamke kwa masaa 72 ambayo ni sawa na siku tatu, lakini ukweli ni kuwa Shahawa huzunguuka nakushambulia "Womb" ili zikakutane na yai ili kuwa kiumbe kwa muda wa siku saba.

Ndio maana wale wenzangu wanaotumia njia ya asilia ya kuzuia mimba
huwa wanashangaa nakuchanganyikiwa pale wanapogundua wamenasa wakati siku zilikuwa "salama", unatakiwa kufanya mahesabu yako vema....vinginevyo Tumia Condom

Vilevile kuna wale wanaotumia Condom baada ya mwanaume kuonja bila chuku-chuku alafu wanakuja shangaa au kataa mimba na kudai kuwa walifanya kwa kutumia kinga (Condom).....tambua kuwa yale maji-maji yenye uterezi na radha ya chumvi-chumvi yanayojitokeza kutokana na nyege pale kwenye jicho la uume hubeba shahawa pia.

Tambua kuwa tone la shahawa lenye ukubwa wa nukta hubeba karibu mbegu elfu moja na mia tano(1,500)......sasa niambie maji-maji yale yanabeba "nukta" ngapi za Shahawa?

Namna ya Kubusu

Namna ya Kubusu


-Sogeza midomo yako kama ilivyo (umeifumba lakini iko-relaxed) kwenye midomo ya unaetaka kumbusu…..kisha itulize midomo hiyo juu yake na sasa toa “busu kavu” juu ya midomo yake kisha jitoe alafu rudi tena x3…..1)

-inua uso wake kwa kutumia kidole (hii ni kwa wanaume) na mbusu moja kwa moja kwa kugusanisha pua kiaina…2)

-Busu kwa kupindisha shingo/kichwa ili kutogusanisha pua zenu…3)

-ukiwa umepindisha kichwa/shingo…mshike mkono au mkumbatie kiasi na busu tena.


Ukiona/hisi anajisogeza au anakupa ishara kuwa uendelee kwa kufungua mdomo kiaina, kukushika mkono/kifua/kitambi/kiuno au kuweka mkono kwenye bega basi endelea na “busu nyevu” kwa kubusu ktk mtindo wa kulamba-kunyonya mdomo(lips) wa chini na tulia hapo kwa sekunde chache kisha pokea ulimi wake kwa ulimi wako (bila kuachama…ni mumo kwa mumo)alafu ukwepe na kisha rudi kwenye midomo na busu lip ya juu…..


Ongeza ujuzi wako sasa…na kumbuka kupumua kwa kutumia pua sio unampumulia mwenzio mdomoni….(atashiba hewa) au unabada pumzi. Unaweza kufumba macho au kukodoa....inategema na wakati wenyewe.


Kuna aina tofauti za kubusu ili kutuma ujumbe kwa mpenzi wako lakini busu zote zinahusisha ulimi na mate. Unaweza ukapewa busu wewe ukadhani ni kawaida (kama hujui) lakini mwenzio anakwambia
-amechoka,
-anakupenda,
-anashukuru,
-amefurahi kukuona,
-hataki kungonoana siku/wakati huo,
-hana raha/hujamfurahisha,
-anataka kuwa peke yake,
-ana machungu,
-yuko busy n.k.


Busu la Kifaransa a.k.a denda


Unatakiwa kuwa “kissable” kwa kuwa na midomo laini na isiyo na mipasuko au ngozi-ngozi, hakikisha kinywa chako ni kisafi hasa ulimi, hakikisha unakunywa maji au kinywaji chochote kitakachosaidia kuondoa ukavu wa mdomo wako, vilevile jifunza kuongea na kucheka mara kwa mara ili domo lisichache/vunda.


Safisha kinywa ikiwa umekula chakula chenye shombo na epuka kula vyakula vyenye vitunguu swaumu pia kwa wavutaji sigara harufu yake mdomoni hunuka kama mavi akyanani…..kama ni mvutaji basi safisha kinywa au kula kitu kichachu na kitamu kama chungwa, embe, nanasi au unaweza kujaribu mvinyo (wine).

Unatakiwa kuwa na uhakika mwenzi yuko tayari kubusiwa sio unakurubuka na kufungua mdomo wa mwenzio na ulimi, unatakiwa kwenda hatua-kwa hatua...


Ukiona kuwa mwenzio yuko tayari basi ndio unapaswa kuendelea na busu ya mate/ulimi. Ninaposema mate sina maana upeleke kimiminika chako mdomoni mwa mwenzio la hasha! Pia ninaposema ulimi sio kwamba uzunguushe ulimi wako kwenye fidhi za meno yake na kuupeleka ulimi mpaka kooni…..utamtapisha mwenzio.


Busu sio tiketi/tikiti ya kufanya ngono japo kuwa ukaribu wenu unaweza kuwafanya mhisi kuwa mnataka/tamani kuendelea na hatua nyingine yakuingiziana mikono chupini na kushikana mazingira yenu nyeti, na badala yake kumbatia busu na enjoy the moment ...

Natambua wazi kuwa kuna watu wengi hawajui kubusu kwa kutumia ulimi a.k.a busu la Kifaransa na kuhakikishia hata baadhi ya wafaransa hawajui kucheza na ndimi zao...hivyo hauko peke yako.

Mazoezi ya kukaza misuli ya Uke.

Mazoezi ya kukaza misuli ya Uke.

Kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wanawake kuwasema na kuwacheka wanaume wenye “vibamia” hali kadhalika na wao huwa wanacheka na kusema wanawake wenye “Kuma” kubwa/pana wakidai kuwa hawafurahii kwa vile haibani na kupoteza ule msuguano ambao ndio chanzo cha raha na hatimae utamu.

Natambua kuwa ni jambo linalotia aibu kama ilivyokua kwenye suala zima la ngono lakini hili ni tatizo ambalo linasumbua wanawake wengi. Hili tatizo mara nyingi hutokea au kujitokeza mara baada ya kuzaa watoto 2 na kuendele.


Hakuna sababu ya wewe kuona aibu ikiwa una tatizo hili hasa pale unapokwenda kumuona daktari wako kwani wanatambua kabisa nini huwa kinatokea baada ya kuzaa.

Ukiwa mtu wa kufanya mazoezi au ulikuwa mtu kwa kufanya mazoezi kabla hujapata mtoto huwa rahisi kurudisha u-tight wa misuli ya uke wako kwa kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo pamoja na yale maalimu kabisa yanayoitwa Kegel.


Zoezi hili limepewa jina la Kegel baada ya Dr.Arnold Kegel ambae ni “Obstetrician” alietambulisha zoezi hili kama sehemu ya kuwasaidia akina mama wajawazito kuboresha na kukaza misuli ya uke ambao huwasababishia kuvunjwa kwa mkono pale wanapocheka, kohoa, piga chafya n.k. mara baada ya kujifungua.


Baada ya miaka michache imegundulika kuwa zoezi hilo lijulikanalo kama Kegel husaidia kurudisha “mnato” wa uke pia na wengi hufanikiwa kurudisha ule “u-tight” wa uke hali inayowafanya wajiamini wanapofanya mapenzi na vilevile kuwafanya wapenzi wao na wao wenyewe kufurahia kama ilivyokuwa awali (kabla ya kuzaa).

Misuli inayofanyiwa zoezi hili ni ile iliyozunguuka uke, njia ya mkojo na sehemu ya haja kubwa(mkundu).


Unajua unapokunya (toa haja kubwa) ile ngumu au hata ya kawaida huwa huliachii mpaka liwe reefu kama na mara nyingi unakata kimba hilo, ukilikata lile "javi " sehemu yako ya nyuma (mkundu) inakuwa kama vile ina "hema" au "inamwenyua-mwenyua" samba-mba na ile ya mbele....sasa unatakiwa kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo ukiwa mahali popote na sio wakati unakunya. Lakini kumbuka ku-hold na kuachia....sio unafanya haraka-haraka ili uwahi kumaliza.


Hali hiyo ya mkundu na Kuma "kuhema" pia hujitokeza wakati ukisikilizia utamu wa kufanya mapenzi mara tu baada ya uume unapotolewa haraka ukeni pale unapofika.....hasa ikiwa Mpenzi anataka kumaliza lakini kwa nje.

Vilevile unaweza ukalifanya zoezi hilo kila unapokwenda kukojoa, jaribu kuzuia mkojo usitoke kwa kutumia misuli yako ya uke kwa muda wa dakika fulani....kwamba uzuie kisha hesabu 1....2....3....4...5...6 kisha uachie na rudia tena mpaka mkojo wote uishe.


Zoezi hili halifanywi na wenye uke mpana na wenye maji-maji mengu tu bali na mwanamke yeyote ili kuboresha maisha yake ya kingono na mpenzi wake.


Ikiwa unafanya haya mazoezi mara kwa mara yatakusaidia kumpatia mpenzi wako kilele cha maana kwa kubana-vuta na kukamua uume wake kila unapo ingia deep inside na vile vile kunaendeleza mnato wako na ikiwa wewe ni kati ya wale wanawake wenye maji-maji mengi basi unaweza kutumia misuli yako hiyo kuubana uume na kumpatia utamu na raha mpenzi wako ambayo hajawahi kuipata toka umaji-maji ujitokeze.


Nitajuaje kama nimepatia?


Ni rahisi, ingiza kidole kisha fanya Kegel na utahisi kidole chako kikibanwa na kuachiwa.

Fanya zoezi hili kila siku, mahali popote na utapata matokea(utaona mabadiliko) ndani ya miezi miwili hadi minne kwa wale wenye uke mpana.

Ikiwa wewe uke wako uko sawa (sio mpana)na unafanya Kegel ili kuongeza raha ya kufanya mapenzi basi itakuchukua wiki moja. Hakikisha unafanya zoezi hili kila wakati unapofanya mapenzi na hakikisha anapokaribia mbane-mwachie na kamua "cream" yote.

Pia Kegel inaweza ikafanywa kwa kulala chali, weka mikono huku nahuku kisha ipumzishe kwenye sakafu alafu kunja miguu yako sehemu ya magoti na vikanyagio viwe sambamba kwenye sakafu kisha inua kiwili-wili chako kwenda juu baki hapo juu (huku ukiwa umebana msuli ya uke kama vile unazuia mkojo usitoke) kwa muda kisha rudi chini na rudia tena kadiri uwezavyo.

Thursday, March 26, 2009

kusafisha KUMA

Jinsi ya kusafisha Uke wako!

Awali nilikuwa nikidhani kuwa kila mwanamke anapaswa na anafahamu jinsi ya kujisafisha ndani ya uke mara tu baada ya kuondolea bikira (kuanza mahusiano ya kimapenzi na hatimae ngono), lakini nimekuja kugundua ukweli kwamba wanawake wengi hawajui uke unasafishwa vipi?

Baadhi huofia kuwashwa na sabuni na wengine hudhani utokwaji wa utoko ni kawaida hivyo hawana budi kuacha kama ilivyo na badala yake hutumia “pads” ndogo au “wipes” zenye manukato ili kuzuia harufu/shombo ya uke na vilevile kuzuia uchafukwaji wa “vyupi” vyao.

Huitaji kuficha(Bali punguza) harufu ya asilia ya uke kwa kutumia bidhaa zenye mahukato hasa ukiwa na mpenzi wako kwani hiyo harufu ndio uanamke wenyewe na ikikutana na ile ya kiume ndio raha ya kufanya mapenzi na ikiwa mpenzi wako ni “aliyejaaliwa” atakuwa akiipenda harufu hiyo na hubaki akilini mwake hali inayoweza kumfanya akupende zaidi au kutoweza kufanya ngono na mtu mwingine bali wewe.

Hujawahi kusikia wanaume wanashindwa kutoka (date) wanawake wengine baada ya wapenzi wao kufariki dunia? Au mwanaume kushindwa kuendelea na maisha yake ya kimapenzi bila wewe na matokeo yake hata mkiachana lazima atarudi tu kwako….sababu moja wapo ni hiyo.

Kujiswafi ili kupunguza ukali wa shombo/harufu ya uanamke:
Utoko hujikusanya ikiwa mwili umetulia (usiku) hivyo hakikisha unajisafisha kila asubuhi kabla hujaanza kuoga.
Wengi wanatumia maji ambayo usalama wake ni wa utata, sasa ili kuepuka maambukizo hakikisha maji ya kujisafishia sehemu zako za siri yamechemshwa vizuri. Unaweza kutenganisha maji ya kuoga na ya kusafishia uke ukitaka.

*Kabla hujaguza uke wako hakikisha umesafisha mikono yako vizuri kwa sabuni (ukiweza tumia sabuni yenye dawa) na wakati huo huo pitisha sabuni juu ya uke wako ili kuondoa vijidudu kama vilikuwepo, safisha mahali hapo(juu ya uke kwa maji na hakikisha hakuna sabuni).

*Kisha kwa kutumia kidole chako cha kati, ingiza taratibu pale ambapo uume unaingia, kwa kuanzia huitaji kwenda mbali sana. Zunguusa kidole hicho taratibu huku ukijimwagia maji kwa kutumia mkono wa pili, kisha kitoe (kitatoka na weupe mzito) safisha kidole na maji yako.

*Rudia tena na sasa kiingize ndani zaidi na ukizunguushe tena (huku ukijimwagia maji) na kukitoa utaona “utoko” mwingi zaidi kidoleni, rudia hatua hizo mpaka uhakikishe kidole kinatoka bila weupe(utoko) na utahisi hali ya usafi, hakuna utelezi.

Unapojimwagia maji ukeni huku kidole kiko ndani maji huingia pia ukeni na ndio maana mwishoni kabisa utahisi umesafishika vema kabisa na utoko huo hautotoka tena siku nzima na uke wako hautokuwa na shombo kali kama ambavyo siku zote ambazo ulikuwa hujisafishi.

Kwa wale wanaotumia “bath” au “shower” unafanya kama nilivyoeleza ila tofauti ni kuwa maji yataingia vizuri zaidi ikiwa unapata “bath” hivyo hakikisha “bath” sio ya kuchangia, maji ni salama(safi), usiweke sabuni (bath cream) au bidhaa yoyote yenye kemikali kwenye “bath” yako ili kuepuka matatizo ya kiafya na maambukizo mengine.


Uke na Kusafisha Utoko

Kwa kawaida wanawake huwa wanatoa majimaji yenye uzito tofauti hali inayotegemeza zaidi mzunguuko wako wa hedhi. Majimaji hayo hujulikana kama "utoko", Utoko huu huwa ni mweupe kama maziwa na huwa na harufu ya uanamke.

Utoko huanza kutoka pale unapokaribia ukuaji/mabadiliko/kubalehe, kutokana na umri mdogo wanaokuwa nao wakati huo (hawaruhusiwi kujisafisha zaidi ya pale juu kuondoa mkojo) utoko huo husababisha rangi mbaya ya chupi zao hasa kama ni nyeupe au zina rangi ng'avu kama nyeupe n.k. pale katikati.

Jinsi siku zinavyokwenda mtoko wa utoko huongezeka uwingi. Utoko ni muhimu kwa wanawake na una kazi yake ambayo ni kusafisha njia ya uzazi na uke kwa ujumla lakini kusema hivyo sina mana basi uyaache hayo mautoko yakae chupini ei?

Usafishaji hufanyika kwa ndani na unapotoka ina maana hauna kazi tena na hivyo huna buni kuundoa kwa kujisafisha kama ambavyo wanawake wote wanafahamu jinsi ya kujiswafi.

Unapofikia umri mkubwa na kujiingiza kwenye swala la mahusiano na hatimae kuanza kufanya ngono, huo ndio wakati muafaka wa wewe kuanza kujisafisha uke wako na kuondoa utoko ili kuwa huru (shombo free), kupunguza shombo ya "uanamke" kule chini wakati wa kufanya mapenzi, kupunguza siku za hedhi (kwa kawaida unakwenda siku saba lakini kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa unakwenda siku nne tu) na vilevile kupunguza maambukizo ambayo yanaweza kusababishwa na ufujaji wa utoko ndani ya uke wako.

Usafi wa Matako na Uke!


Kawaida ya mwanawake sio wa Kibongo tu bali hata yule wa Ulaya,Uchina,Uarabu na Umarekani hujali zaidi ngozi ya uso na akijitahidi sana itakuwa sehemu zinazoonekana kwa urahisi kama vile shingo, mikono, viganja na ngozi ya miguu.

Lakini maeneo kama tumbo na makalio huwa havijaliwi sana (sizungumzii mkorogo hapa tafadhali) nazungumzia ile hali kawaida ya kujali ngozi na kuwa msafi ktk maeneo hayo muhimu.

Unajua mwili wako mwanamke umeumbwa kuvutia kutokana na ile “mituno” asilia inayokufanya uwe tofauti na mwanaume hapo nina maana matiti, hips na matako.

Mituno hii huvutia ukiwa umevaa nguo na kufanya mtazamaji apendezwe na kuvutiwa lakini je akiondoa hizo nguo mituno hiyo itakuwa kama vile anavyofikiria?


Utunzaji/usafi wa matako na “hips” kwa njia ya asili.


Sote tunafahamu kuwa ngozi ya maeneo hayo sio sawa na ile ya sehemu nyingine ya mwili, maeneo haya hukabiliwa na vipele Fulani hivi vigumu, baadhi hupauka kuliko na wengi hukabiliwa na michirizi.


Hakikisha kuwa unasugua sehemu hiyo ya mwili wako kwa kutumia machicha ya nazi au unga wa mmea wa liwa kusugua maeneo hayo, fanya hivyo mara moja kwa wiki kama unamudu na una senti za kununua nazi na liwa basi unaweza fanya hivyo kila siku (ila mara moja kwa wiki inatosha kabisa kukupa ulaini wa sehemu hizo na kuondoa mpauko na vipele uzembe).

Njia nyingine kwa wewe mwenye ngozi ya mafuta ni kujisugua sehemu hizo kwa kutumia pumba za maindi au unga wa dona (mahindi yaliyosagwa bila kukobolewa/ondolewa ngozi)….

Vilevile hakikisha jamaa anamwaga kwenye makalio yako wakati wa ngono sio kila siku ndani tu au kwenye kondom kwani manii huboresha ngozi ukipaka kama mafuta/lotion ikiwa Jamaa lako choyo na shahawa zake basi wewe kula mboga za majani na kunywa maji kwa wingi na wakati huohuo unayasugua mapele hayo...

Hakikisha unasafisha na maji na unamalizia kupaka mafuta/lotion kila unapomaliza kuoga au kusugua makalio yako.

Usafi wa makalio sio kwenye mapele na ukavu tu bali kuna vile vinywele hujiotea kwenye mstari wa “ikweta” kuelekea au kuzunguuka sehemu ya kutolea haja nzito, wengi ambao hawashukiwi chumvini au hawabong’oi (hawafanyi mbuzi kagoma n.k) nasikia huwa hawajali ama hawajui kabisa kuwa wana nywele huko………huruhusiwi kucheka wala kushangaa hapo!

Mwanamke, hata kama hupindi/binuka harufu itasikika, huenda wewe huisikii kwa vile umezoea lakini mpenzi wako atavuta harufu hiyo yenye utata (mchanganyiko wa jasho, ute na mavi) hivyo hakikisha huto tunywele tunaondolewa kila tunapojitokeza hata kama wewe ni mtu wa kifo cha memde tu.

Yote Kuhusu Shahawa

Vyote Kuhusu Shahawa

Shahawa sio uchafu


Ktk swala zima la kufanya mapenzi/ngono na mpenzi huwa tunajikuta tunafanya vijimambo vya ajabu sana ambayo ukimuelezea mtu anaweza akakuona "wewe namna gani?" lakini ktk hali halisi tunayafanya hayo mambo kwa mapenzi yetu yote na pengine tunapata raha fulani ktk kufanya hivyo vijimambo.

Sasa kwenye hivyo vijimambo vingi tuvifanyavyo kuna hiki kimoja nimekichagua ambacho ni kitamu sana (sio kama pipi au asali bali utamu ule wa kimapenzi) na kitakachokusogeza karibu zaidi na mpenzi wako nacho ni kuthamini Shahawa za mpenzi a.k.a cum a.k.a manii a.k.a maziwa a.k.a krimu (as cream) kwa kuzichezea, kuziramba, kuzipaka mwilini n.k.

Natambua kuwa wengi hushindwa kuwa huru kucheza na "kimiminika" hicho kutokana na harufu yake kali au kwa vile wanaume wenyewe wanaziona/chukulia Shahawa zao kama uchafu. Sikia, chochote kinachotoka mwilini mwa mpenzi wako unaempenda kwa dhati kama matokeo ya kufanya mapenzi (jasho, "cum", mate n.k.) sio uchafu.

Nitakupa maelezo mafupi ya nini chakufanya ili Shahawa zako zisiwe na shombo kali wewe mwanaume na kwa mwanamke nitakuambia namna ya kujifunza kucheza, kulamba na hatimae kujaribu kumeza shahawa bila kusahau faida ya Shahawa.

Mwanaume-Unapaswa kuangalia lishe yako na nini unakunywa(kama utaweza achana na bia na badala yake kunywa maji mengi zaidi) ili kuondoa shombo ya Shahawa na hivyo iwe rahisi kwa mpenzi wako kucheza nazo, onyesha unazijali nakuzipenda ili mpenzi wako azipende pia (ukidhani ni uchafu na zinatoka kwako...mtu mwingine atafanya nini?).

Acha kabisa tabia ya kukimbilia bafuni kuoga au kusafisha "kiungo" au kukimbilia kitambaa/tissue kila baada ya mzunguuko na badala yake baki hapo na onyesha unazithamini kwa kuzishika na kuzipaka juu ya ngozi yake (pale ulipomalizia).

Mtakapo maliza mizunguuko yenu na mmetosheka ndio mnakwenda kuoga/safisha wote......mpango wa kuoga kila baada ya kumwaga sio tu unamkosha mwanamke haki yake kitandani bali pia kunamjengea dhana potofu kuwa Shahawa ni uchafu.


Mwanamke-Unatakiwa kujifunza taratibu na jinsi siku zinavyoenda ndivyo ambavyo utakuwa ukizoea, kitu cha kwanza unacho paswa kufanya ni kuziona zinavyotoka hivyo hakikisha unaangalia uume pale ambapo mwanaume anamwaga mahali popote kitandani au hewani.


1.Mruhusu au ruhusu amwage mwilini mwako, iwe ni kwenye matiti, kwenye makalio, tumboni, kifuani, usoni au juu ya uke wako (akikisha haziteremki ukeni ikiwa huna mpango wa “kumimbwa”) na zikiwa mahali hapo jaribu kuzishika/chezea kwa mikono yako kwa kuzipaka-paka au kuzisambaza sehemu nyingine ya mwili wako.


2.Utakuwa umeshazizoea kuziona, kuzishika na kuzinusa na hivyo itakuwa rahisi kwako wewe kujua una “deal” na “kimiminika” kizuri kitokako kwa mpenzi wako mara baada yakufanya tendo “takatifu”.
Tumia kidole/vidole vyako kuchovya Shahawa na kisha zilambe (hakikisha una kinywaji chenye uchachu au tunda lenye uchachu kama vile embe, chungwa, nanasi n.k.) na mara baada ya kulamba kula tunda lako (najua bado ile kasumba kuwa ni uchafu itakuwa inakumbua hivyo kula kipande cha tunda itakusaidia kuondoa utelezi mdomoni mwako).


3.Andaa vipande vya matunda matamu lakini yenye asili ya uchachu kama embe, nanasi au strawberries na kisha mpe mkono (mchue) au mdomo (BJ) mpenzi wako na muombe amwagie Shahawa juu ya vipande vya matunda yako na kisha kula matunda hayo yakiwa na “cream” na ninakuhakikishia utakuwa umemfurahisha mpenzi wako na atahisi kuthaminiwa sana na wewe bila kusahau hisia nyingine za kimapenzi juu yako zitaongezeka.


4.weka uume mdomoni wakati mpenzi anamwaga Shahawa.
Kama nilivyosema awali hakikisha kuwa pembeni mwa kitanda au mahali mnapofanyia mapenzi kuna matunda yenye asili ya uchachu au kinywaji chochote chenye asili hiyo na kula au kunywa mara tu baada ya kumeza shahawa kwani huwa zina ukakasi Fulani kooni na kwa kula tunda au kunywa kijwaji kitamu na chenye uchachu kitasaidia kuondoa ukakazi huo.


Faida ya Shahawa-Hufanya ngozi yako kunawili na kuwa laini na mororo/nyororo ikiwa utakuwa na tabia ya kuzipaka juu ya ngozi yako kama “cream au Lotion”.

Hasara-Kuwa hatarini au kuambukizwa Magonjwa ya ngono ikiwa ni pamoja na UKIMWI.

Utata-Shahawa haziondoi chunusi usono au mahali pengine popote kwa vile ni protini sio asidi lakini inaondoa vipele au ukavu wa ngozi nakuifanya iwe laini, hivyo kama unachunusi ni wazi kuwa ngozi yako mahali hapo ni ya mafuta kw hivyo hutakiwiwi kuongeza kitu chenye mafuta au protini.

Shahawa zinaniwasha....


Jibu:Kwa kawaida Shahawa haziwashi au hata kusababisha muwasho unless hupatani nazo yaani uwe na aleji(Allergy to Semen/Sperm), kitu nitakachoweza kuhisi kuhusiana na tatizo lako ni maambukizo ya Fangazi/si au wengine huiita “Yeast” kitaalamu inajulikana kama “Candida Albicans” ambapo ule ukakasi/uchachu (unategemea na lishe ya mpenzi wako) unapoingia kwenye vijipasuka/vipele vilivyopasuka kwa ndani husababisha muwasho.
Nakushauri unamuone Daktari ili akupime (atahitaji mkojo au swab ya majimaji huko ukeni) kisha atakushauri na kukupa matibabu kutegemeana na tatizo alilotambua kwenye vipimo vyake.

Afya ya uke ni muhimu sana kuliko hata kinywa au uso wako na unatakiwa mwangalifu wakati unatumia sabuni, maji (chemsha ili kuwa na uhakika), vifaa unavyotumia kujisafishia ukiwa Gym au kama unaishai nyumba za kupanga zenye Kopo/bomba moja chooni, choo kwani kuna vyoo vimejaa kiasi kwamba ukichutama sehemu zako nyeti zinatishia kugusa vinyesi vya watu wengine, taulo la kujifutia na hata uchangiaji wa nguo za ndani (hata kama unafua kwa Jick) still unakuwa kwenye hatari ya kuambukizwa bila kujijua.


Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa usijisikie vibaya kwenda kumuona Daktari Bingwa wa Magonjwa ya kike kwa ushauri wa kitibabu hali kadhalika dawa, kwani dawa zinapatikana kwa wingi na nyingine zinaozea stoo kwa vile wanawake wanaona aibu kwenda kuomba ushauri ili kupata matibabu.

Magonjwa ya ngono kwa wanawake ukiachilia yale makuu kama kisonono, kaswende, HIV n.k. yapo mengine madogo madogo ambayo sio lazima uyapate kwa kufanya ngono bali kwa njia nyingine zitokananzo na mitindo ya maisha tunayoishi, kutokujua/kutokujali afya ya uke, mabadiliko ya homono hasa kama wewe ni mtumiaji wa madawa ya kuzuia mimba n.k.


Shahawa na Mimba

Baadhi ya watu wanadhani au wanaamini kuwa Shahawa huishi ndani ya mwili wa mwanamke kwa masaa 72 ambayo ni sawa na siku tatu, lakini ukweli ni kuwa Shahawa huzunguuka nakushambulia "Womb" ili zikakutane na yai ili kuwa kiumbe kwa muda wa siku saba.

Ndio maana wale wenzangu wanaotumia njia ya asilia ya kuzuia mimba
huwa wanashangaa nakuchanganyikiwa pale wanapogundua wamenasa wakati siku zilikuwa "salama", unatakiwa kufanya mahesabu yako vema....vinginevyo Tumia Condom

Vilevile kuna wale wanaotumia Condom baada ya mwanaume kuonja bila chuku-chuku alafu wanakuja shangaa au kataa mimba na kudai kuwa walifanya kwa kutumia kinga (Condom).....tambua kuwa yale maji-maji yenye uterezi na radha ya chumvi-chumvi yanayojitokeza kutokana na nyege pale kwenye jicho la uume hubeba shahawa pia.

Tambua kuwa tone la shahawa lenye ukubwa wa nukta hubeba karibu mbegu elfu moja na mia tano(1,500)......sasa niambie maji-maji yale yanabeba "nukta" ngapi za Shahawa?

Kutombana kwa Simu

Kutombana kwenye Simu

Unachotakiwa kufanya ni kuwa tayari kwa ajili hiyo nikiwa na maana mazingira, muda wa kutosha pia kutumia sauti yako, pumzi, maneno na “imagination” vilivyo na mambo yatakuwa bomba kama kweli vile.

……..sote tunajua kuwa wanaume na ego zao huwa wanapenda kuwa in control na hivyo hupenda kuongoza linapokuja swala la kufanya mapenzi hata wanapokuwa simuni.


Sasa hapa nitajaribu kukupa mfano wa kufanya mapenzi kwa njia ya simu….kumbuka tu kuwa hii ni sanaa na unapaswa kujifunza kila siku ili kuongeza ujuzi na vionjo sio unashupalia come on baby….come on baby.


Kitu unachotakiwa kutilia maanani ni kujua anapenda kufanyiwa nini au kusikia maneno gani kutoka kwako ambayo yatamnyegesha…….mfano mimi napenda kuambiwa kile unachokifanya.

D-Hey sweetie…..mambo yako? Leo nina hamu kweli ya kutombwa na wewe……

J-Oh yeah…..

D-Anha….

J-Unatakaje

D-Vyovyote….

D-Baby, imagine niko chumbani nimeinama bila nguo natandika kitanda……

D-Unakuja nyuma yangu na kunikumbatia na mboo yako inagusa matako yangu……ooh baby I like that….

D-Unanishika kiuno unakwenda taratibu na kuyashika matiti yangu…..sasa unaweka midomo yako na kujaribu kunyonya chuchu…..aawww….isssshh it feels so good…..

D-Sasa unanibusu midomo yangu……nakushuka maeneo ya shingo….. huku ukinipapasa taratibu……nashindwa kujizuia najiangusha kitandani…..


Hapo sasa “J” ambae ni mwanaume ndio unachukua hatamu nakuendeleza game……

Mwanamke unatakiwa kujiachia kutokana na raha unayoipata wakati huo huwa nzuri sana kama nyote wawili mtabadilishana sauti za utamu au raha mnayoipata nikiwa na maana kama vile mnafanyana physically.


Mf: aaah yess aaah baby tamu….nifanye kwa nguvu….(hapo vipi) hapo hapo….inaumaaaaah…(pole mpenzi)…nahisi kichwa kilivyo moto etc-etc.

Kuhusu Kunyonya Uume

Yote Kuhusu Kunyonya Uume

Kumshukia mwanaume kule chini kunahitaji moyo na mapenzi ya dhati dhidi ya mpenzi wako na vilevile hisia uipatayo wakati unafanya hivyo (kama ilivyo kwa wanaume kwenda chumvini), lakini kwa wanaume hawahitaji kushukiwa huko ili kupata utamu wa ngono kwani wao hawana matatizo ya kufika kileleni kama wanawake (asilimia kubwa) hivyo kumshukia mwanaume huko chini kunategemea zaidi na ninyi wawili ktk kukoleza ukaribu wenu wa kimapenzi.

Kwa kufikiria kunyonya uume ni rahisi sana, lakini kiutendaji sio rahisi hivyo kwani unahitaji ufundi kiasi ili kumfanya mpenzi wako afurahie mdomo wako huko chini kwake.

Unaweza ukaanza kuunyonya kabla hata haujainuka na hivyo wewe ukaunyanyua...ila unaweza kuwa umechoka hali itakayopelekea usinyonye ipasavyo mara utakapo kuwa mgumu (dinda).

Unapounyonya uume sio lazima umeze ule ute hasa kama unakinyaa na badala yake unaweza kumpa mpenzi wako "dry suck" kwamba unamnyonya bila kuachia mate yako na hivyo kitakachokuwepo mdomoni ni ule ute wake kiasi ambao utakuwa unauachia kinamna kila unapoenda juu (kichwani).

Kuna akina dada waliwahi kuniandikia kwa nyalati tofauti wakilalamika kuwa wapenzi wao wanawalazimisha wawanyonye in-direct, kwamba jamaa anachojoa kisha anamsimamia mbele yake uume ukiwa sambamba na mdomo kisha kujisukuma mdomoni.

Mwingine akalalamika kuwa wake huwa anasukuma kichwa chake ili aende chini akamnyonye kila wakati anapombusu sehemu za kiunoni.

Mdada wa 3 alilalamika kuwa mpenzi wake huwa anamwambia "nishukie chini basi".

Kaka yangu, kama na wewe unatabia hiyo napenda kukufahamisha kuwa ni bonge la "turn off" kwa wanawake wengi......kwenye mapenzi hamlazimishani bali mnafanya mambo/vitu kutokana na unavyojisikia au jinsi ulivyopanga kumfurahisha mpenzi wako siku hiyo.....unatakiwa ku relax na mwachie afanye atakacho mwilini mwako na utafurahia. Ikiwa ka-miss jambo basi ni vema kulizungumza nje ya uwanja (sio kitandani).

Jinsi ya kunyonya uume.

1-Anza kwa kubusu ktk mtindo wa kulamba maeneo yaliyo karibu na uume hasa sehemu ya ndani ya mapaja, anza paja la kulia na hamia paja la kushoto.....wakati unaendelea na safari yako ya kulamba tumia mkono wako mmoja kumshika sehemu ya kiunoni pale karibu na mboo.

2-Utaona uume unaanza ku-move (ukiwa umesimama), sasa ili usikuharibie utamu wa kubusu ushikilie kwa mkono wako mwingine kama vile umeshika mua au chupa ya soda kwa juu na peleka mkono huo juu na chini huku ukiendelea kubusu-kulamba.

3-Mkono wako ukiendelea na safari ya juu-chini hamishia mdomo wako kwenye pumbu (makende), yalambe taratibu na ukiweza yakoweshe kwa mate (yabugie a.k.a yaingize yote mdomoni mwako) huku ukitembeza ulimi taratibu...kuwa mwangalifu na meno yako wakati umeyabugia kwani ni "sensitive" na wanadai kuwa ukikosea kidogo huwa yanauma.

4-Toka sehemu hiyo ya makende kwa kubusu taratibu wakati unaelekea kwenye mtunguli wenyewe (mboo), tumia mkono wako kwenda juu-chini (kamanilivyosema awali) kisha anza kulamba ktk mtindo wa kunyonya kwenye shaft a.k.a shina la uume....ulambaji wa hapa unategemea na mpezni mwenyewe unaweza lamba kuanzia "base" kwenda juu kuzunguuka mboo au unaulamba ktk mtindo wa kubugia hatua kwa hatua (kiupande-upande kama unamenya mua kwa kutumia meno yako) hehehehehe nimewakumbuka Wasukuma.

**Mpaka hapa mpenzi anaweza kumwaga.....ikitokea basi jipongeze kwa job well done.....vinginevyo endelea kama ifuatavyo:-

5-Sasa shusha mkono wako na shika kule mwishoni mwa shina la uume (base) au karibu na "base"(inategemea na ukubwa)....kufanya hivi kutakusaidia wewe kujua kiasi gani cha uume unaweza kumudu ndani ya mdomo wako hasa kama unataka kumpeleka mpaka kwenye koromeo (angalia usijitapishe tu).

6-Anza shughuli sasa ya kuunyonya uume na zingatia zaidi kumkichwa kwani ndio kunako utamu, kwa kutumia midomo yako ya nje (lips) ficha meno yako ili usimkwaruze (kuwa kibogoyo kwa muda huo sawa?) alagu endelea na juu chini huku ukipunguza na kuongeza "speed".

Hakikisha unatumia mikono yako yote miwili ili kumuongezea raha mpenzi wako....mkono mmoja unacheza na pumbu....mkono mwingine unatembea kutoka "base" kwenda kati ya shina la uume.
Unapokwenda juu kwa kutumia mdomo wako hakikisha mkono unakufuata na ukirudi chini hakikisha mkono wako unakufuata.....time to time baki kichwani na tumia ulimi na lips zako kunyonya/lamba na wakati huo mkono unakwenda juu-chini kwa speed kali (kama vile anajichua) na hapo utamuongezea kautamu....

Endelea mpaka atakapo cheka.....

Kukata Kiuno

Jinsi ya Kukata Kiuno

1-Simama wima(ukiwa uchi mbele ya kioo ndio it'll work better), weka mikono yako hapo tumboni alafu sukuma tumbo lako mbele (litunishe) baki hivyo kwa muda kisha lirudishe kwa ndani na ubaki tena hivyo kwa muda. Rudia kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo na kumbuka kubana pumzi huku mdomo ukiwa wazi (itasaidia kukaza misuli ya tumbo pia), kubadilisha mirindimo (polepole, haraka, chap-chap, kugandisha n.k) mpaka utakapo hisi tumbo lako linatetema/tikisika (yaani vibrating).

Msingi wa kukata kiuno

Kama nilivyosema awali, simama wima najishike kiunoni(kuhu na huku) kisha peleka sehemu ya kiuno ya kulia upande wa kulia, sehemu ya mbele ipeleke mbele uwezavyo(nina maana ile pelvis tu sio tumbo na kila kitu) alafu baada ya hapo peleke sehemu yako ya kiuno ya kushoto-kushoto, kisha peleka sehemu yako ya mbele nyuma hali itakayofanya matako yako yabinuke/jitokeze kwa nyuma.....nyoosha magoti kisha rudi kulia (ulipoanzia).


Fuata hatua hizo kwa mara nyingine tena ambazo ni simama wima-kulia-mbele-kushoto-nyuma kulia x 20 na kuendelea inategemea zaidi na bidii yako.


Baada ya kuzoea hatua hizo hapo ndio unapotakiwa ku-create movements na mirindimo yako kivyako. Mfano lala chali, kifudifudi(lalia tumbo), ubavu, chutama, piga magoti n.k kisha nenda kulia-mbele-kushoto-nyuma-kulia mpaka kiuno kizoee..... alafu usisahau ukiwa ndani ya "game" kukilazimisha mpaka kitakapo kubali/zoea.

Kidokezo: Zoezi zuri la kukata kino ni kulala kifudifudi(kulalia tumbo) kisha kukizunguusha (hapa usipokuwa mwangalifu unaweza ku-cum via kisimi kwa vile unatua unakisugua kiaina sio mbaya ni njia moja wapo ya kujipunguzia stress sio ).

Ulimi Kisimini ni Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea.


Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”.


Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja.


Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje (well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa kisimini.

Sehemu pekee ambayo itakufanya wewe mwanamke ufike kileleni kwa haraka ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi chako. Kuna wanaume ambao ni “wajanja” na hawaoni tabu kutumia ndimi zao kuwaridhisha wapenzi wao, wengine hutumia vidole na wengi hutumia mboo zao(katerero).

Ndugu zangu!

Lakini ngoja nikuambie, fanya yote lakini ulimi ni mwisho wa mambo ikiwa ulimi huo utachezea kisimi katka mitindo ya a-z, mzunguuko, #8, pembe 2 pembe. Sio wajilambia kama “ice cream”, anatakiwa kutumia ncha ya ulimi kulamba na midomo ya nje + ulimi kukinyonya kidude.

Mbinu za kuzuia mimba

Njia za kuzuia mimba

Dawa au vifaa vya uzazi ni baadhi ya taratibu zinazotumiwa kuzuia mimba kutungwa. Ikiwa msichana au wanamke atafanya mapenzi pasi na kutumia mojawapo ya mbinu hizo basi, kuna uwezekano wa theluthi moja kwamba atapata mimba.
Hata hivyo aina yoyote ya kuzuia mimba utakayoichagua ni lazima itumiwe kama ilivyoagizwa, ili kuleta matokeo ya hakika.
Baadhi ya njia hizo kama vile kutumia kondom wakati wa ngono, pia kwa kiasi fulani humpa mtu kinga dhidi ya maambukizo ya virusi vya HIV, na magonjwa mengine yanayoathiri afya ya uzazi.
Kwa vile mbinu za kuzuia uzazi ni za aina tofauti tofauti, ni muhimu basi uchague kwa makini ile inayokufaa. Utapata usaidizi wa kitaalam kama utashauriana na daktari wako, au pata usaidizi katika kituo cha kwenu cha upangaji uzazi, au kituo cha vijana.

Mbinu za kuzuia mimba (Contraception)

Hivi ni vifaa au dawa zinazotumiwa kwa minajili ya kuzuia mimba kutungwa wakati wa kufanya ngono.
Kuna zile zinazotumiwa kwa mda mfupi na nyengine kwa mda mrefu. Nyengine hufanya kazi papo hapo na nyengine huitaji maandalizi ya mda.
Kondom au tembe maalum ndizo njia bora zinazojulikana zaidi za kuzuia mimba.
Pia kondom zina manufaa bora zaidi zinapotumuwa kwani mbali na kuzuia mimba zinapotumika kama inavyopaswa zinaweza pia kumkinga mtu asiambukizwe vurusi vya HIV, na magonjwa mengine ya zinaa.


Tuangalie kwanza vifaa vya kuzuia mimba.



Moja ya mbinu bora na rahisi za kuzuia mimba, ni kuweka kizuizi, kwa lengo kuwa mbegu ya mwaname na ile mwanamke zisikutane. Kwa maana hiyo kifaa maalum kinaweza kuwekwa katika njia inayotumiwa na mbegu ya kiume ndio isilifikie yai la mwanamke.
Baadhi ya vifaa hivi (hasa kondom) pia vinaweza kukinga kuambukizwa virusi vya Ukimwi, na magonjwa mengine ya kuambukizana kupitia ngono.
Kuna aina kadhaa za vifaa vya kuzuia mimba. Kondom za wanaume na zile za wanawake ndio vifaa vinavyofahamika zaidi, hata hivyo kuna pia vifaa vyenginevyo viitwavyo diaphragm na caps kwa kimombo ambavyo vinaweza kutumiwa na wanawake.


Kondom za wanaume: Hivi hutengenezwa kutokana na aina maalum ya mpira uitwao latex, au plastiki nyembamba. Kondom ya mwanaume huvaliwa kwenye uume iliyosimama, tena kabla ya uume kuingizwa ukeni. Ikitumiwa kama inavyotakikana inakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 98.
Kwa kawaida kondomu hupatikana kwenye vituo au kliniki za upangaji uzazi, kwenye maduka ya madawa au hata maduka ya kawaida.


Kondomu za wanawake: Halkadhalika hutengenezwa kwa mipira laini ya latex au plastiki nyembamba maalum. Huvaliwa ndani ya uke, huku sehemu iliyowazi ikichomoza nje kidogo. Kwa kawaida kondom za wanawake ni ghali, na pia utendaji kazi wake unakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 95.

Aina nyenginezo na vifaa vya kuzuia mimba huwa hazipendekezwi kwa vijana lakini ni vyema kuvijua.
Kuna aina nyenginezo za vifaa vya kuzuia mimba viitwavyo diaphragms na caps. Hivi hutengenezwa kutokana na kitu kiitwacho silicone au mpira laini maalum. Vikiwekwa ukeni hutumika kama vizibo vya kuzuia mbegu za mwanamme kupenya hivyo basi haiwezi kukutana na yai la mwanamke.
Kwa kawaida caps ni ndogo kuliko diaphragms lakini kwa vile wanawake pia wana maumbo tofauti, ni sharti upate saizi utakayokutosha. Hapa ni sharti upate usaidizi wa daktari wako, au muuguzi, kuiweka.
Inapowekwa mahali pake ndani ya uke, iwe diaphragm au cap, huziba kilango cha mfuko wa uzazi hivyo basi mbegu ya mwanamme haitapatanafasi ya kupita. Ukishaonyeshwa na daktari jinsi ya kuipachika, baadae unaweza kuipachika mwenyewe kabla ya kufanya mapenzi.
Kwa matokeo bora zaidi, diaphragms na caps hutumiwa pamoja na dawa iitwayo (spermicide) ambayo huuwa mbegu za uzazi za mwaname. Hapo diaphragms au caps humpa mwanamke kinga dhidi ya mimba kwa asilimia kati ya 92 na 98.
Hata hivyo itachukua mazoezi ya muda ili kuvitumia itakikanavyo. Wakati mwengine pia hutumiwa na gel yake maalum lakini bado havina hakikisho la asilimia moja kuzuia mimba.
Faida yake nyengine ni kuwa, kwa kiasi fulani, vinaweza kukinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na saratani ya (cervix) lango la nyumba ya uzazi.
Ikiwa wewe hutumia vifaa kama diaphragms au caps, au hata kondom, ni vyema kujipangia mapema ndio usikose akiba, ndio haitakuwa karaha kuvitafuta pale unapovihitaji.

Mbinu nyingine za kuzuia mimba


Kuna chembe chembe za kimaumbile, zinazojulikana vyema kama homornes ambazo hutumiwa kutengeneza tembe au chanzo ya kuzuia mimba.
Chembe chembe hizi kwa jina maalum progestogen yaani mchanganiyko wa oestrogen na progestogen, huingizwa mwilini mwa mwanamke kwa mpangilio na kiwango maalum ili kuzuia mimba kutungwa.
Hufanya kazi kwa namna hii:

* Kwa kuzuia ovari kuangua mayai
* Kwa kuzuia mbegu za mwanamme kulifikia yai (kwa kufanya majimaji ua ukeni kuwa mazito na kunata hivyo kuzuia mbegu ya mwanamme kupenya)
* Kwa kulizuia yai kujipachika kwenye kiota cha nyumba ya uzazi.


Tembe mchanganyiko - huwa ni kidonge cha dawa kilichotengenezwa kwa mchanganyiko wa chembe chembe za oestrogen na progestogen. Hii huzuia mimba kwa njia zote tatu tulizozitaja hapo juu na ikitumiwa itakikanavyo, vinategemewa kuzuia mimba kwa asilimia 99.

Tembe ni rahisi kutumia - Mradi tu unakumbuka kumeza vidonge kulingana na maagizo. Wakati mwengine pia huifanya hedhi, kupungua na kupunguza pia maumivu wakati wa hedhi.
Lakini athari zinazoandamana na utumiaji wa vidonge hivyo ni pamoja na kuchafukwa na moyo, kuongezeka unzani, na athari mbaya zaidi ni iwapo itatokea hali ya kuganda kwa damu kwenye mishipa ya kupitisha damu.


Vidonge vya Progestogen pekee (POP) - Aina hii ya Tembe huitwa pia “mini pill” na huwa ina chembe chemba za progestogen pekee. Huzuia mimba kwa njia kama zile zile zinazozuia tembe za mchanganyiko, na ina utendaji kazi wa kati ya asilimia 96 na 99. Hata hivyo kama una uzani wa zaidi ya kilo 70 uwezo wake wa kuzuia mimba hupungua
Faida kuu ya kutumia vidonge hivi ni kwamba vina athari ndogo za kiafya. Lakini tatizo ni kuwa ni sharti tembe imezwe wakati ule ule kila siku , kama umechelewa basi isipitishe zaidi ya masaa matatu.


Sindano - Hii ni chanjo ya kuzuia mimba inayotengenezwa na chembe chembe hizo hizo za homoni ya progestogen. Tofauti na tembe, ambazo ni sharti kumeza moja kila siku, sindano pindi inapodungwa inakupa kinga dhidi ya mimba, kwa mda wa kati ya wiki nane hadi 12 kuambatana na aina inayotumiwa.
Hudungwa takoni, na dawa kuingizwa ndani ya mishipa ya damu na ina uwezo wa kuzuia mimba kwa asilimia 99.
Faida kuu ya njia hii ya sindano, ni kwamba hutakuwa na wasiwasi wa kupata mimba unapofanya ngono, kwa mda wa angalau wiki nane au 12.
Lakini pia ina athari zake - ni kwamba huenda dawa hii ikavuruga mpangilio wako wa kawaida wa kupata hedhi, au ukatoka hedhi kiwango kisicho cha kawaida cha damu, au kwa mda mrefu, au hedhi ikapotea kabisa. Pia inaweza kusababisha kuongezeka uzani.


Homoni au Vidonge vya kupachika chini ya ngozi Hapa dawa kama ile ile ya tembe au chanjo, hutengenezwa na kuwekwa kwenye kifaa cha plastic mfano wa kijiti cha kiberiti. Hupachikwa ndani ya ngozi chini ya kwapa kwa kufanyiwa upasuaji mdogo.
Hii ni njia ya mda mrefu ya kuzuia mimba. Inaaminika kuzuia mimba kwa aslimia 99 na inaweza kufanya kazi kwa mda wa hadi miaka mitatu.
Kuna aina nyenginezo za upangaji uzazi ambazo, ingawa kwa hali ya kawaida hazipendekezwi kwa vijana, si vibaya kuzijua.


Kitanzi au koili, ambacho kwa lugha ya kitaalam kinajulikana kama Intra-uterine device au IUD hutengenezwa kwa plastiki na shaba, na hupachikwa kwenye mfuko wa uzazi na daktari au muuguzi.
Vitanzi huanza kufanya kazi pindi kinapopachikwa. Hufanya kazi kwa njia mbili kuu. Kwanza, kwa kuzuia mbegu za kiume kutangamana na yai, na pili kuzuia yai kukubaliwa kujipachika ndani ya mfuko wa uzazi.
Kitanzi au koili kinakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 98 na 99. Na pindi kikitolewa asili ya uwezo wa wanamke wa kushika mimba anapofanya ngono, unarudi vilevile.
Hata hivyo moja ya matatizo ya kitanzi ni kwamba vinaweza kuifanya hedhi yako kuwa nzito (damu kutoka nyingi) na pia huenda ukapatwa na maumivu, mara nyengine inaweza kutoka mahali kilipowekwa na kusukumwa nje ya mfuko wa uzazi.
Hivyo ni vyema kumuona daktari mara kwa mara ili kama imechomoka, ipachikwe tena vyema.


Njia asilia ya mpango wa uzazi.


Njia hii inahitaji makini sana kuitumia. Kwani inafanya kazi tu ikiwa wanamke anafanya mapenzi tu wakati ule ambao kiasilia hawezi kushika mimba.
Hii inawezekana kwa kutayarisha tarakimu za siku za hedhi, na kupima hali ya joto la mwili. Njia hii inahitaji uangalifu na uzoufu mkubwa – Kwa vile ni ya kubahatisha haipendkezwi kwa vijana ambao hawako tayari kupata mtoto.
Kwa bahati mbaya watu wengi hudhani kwamba kutoa uume kutoka ukeni, pindi tu kabla ya kufikia kilele cha kumwaga manii, ni moja ya njia za kuzuia mimba.
La sivyo kwani mara nyingi mbegu za kiume hutangulia kutoka hata kabla kufikia kilele katika hali ya kufanya mapenzi. Hivyo basi hata ukitoa uume huenda umeshachelewa!
Vasectomy au Tubuligation, Hii ndiyo njia pekee ya kudumu ya kuzuia mimba.


-Vasectomy ni njia ya kumfanya mwanamme asiwe na uwezo wa kutunga mimba ilhali Tubuligation ni njia ya kumfanya mwanamke asiwe na uwezo wa kushika mimba. Hii inafanyika kwa njia ya upasuaji mdogo.
Mwanamme anafanyiwa upasuaji kwa kukata vibomba vinavyopitisha mbegu za kiume kutoka kwenye makende hadi kwenye uume. Upasuaji huu kwa mwanamke unahusisha kukatwa au kuzibwa kwa vibomba vinavyopitisha mayai kutoka kwa ovari hadi kwenye mfuko wa uzazi.
Baada ya upasuaji huu, ni vigumu mwanamke au mwanamme kurudishwa tena katika hali ya mwanzo ya kuweza kuzaa, kwa hivyo njia hii inatumiwa tu kwa sababu za kimatibabu au ikiwa mhusika amefikia uamuzi wa hakika kwamba hataki tena kupata watoto (zaidi).
Kitanzi cha Intra uterine system au IUS - Hiki nacho kimetengezwa kwa plastiki, yenye muundo wa T kikiwa na chechembe za homoni ya progestogen ndani. Kinaweza kupachikwa ndani ya mfuko wa uzazi na daktari au muuguzi.
Kitakapopachikwa, progestogen pole pole huingia ndani ya mwili, na kuzuia mimba katika njia ile ile kama vinavyozuia tembe. Kinaweza kutumika kwa mda wa miaka 5, na kinakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 99.


-Kitanzi cha IUS ni kizuri kwa wale walio na matatizo ya maumivu wakati wa hedhi, kwa sababu kinapopachikwa (ingawa wakati wa kupachikwa huenda ukapata maumivu kidogo) baadaye husaidia kupunguza hedhi au hata kuisitisha kabisa, kutokana na homoni hizo za progestogen.
Madhara ya njia hii nayo ni kama, kuongeza uzani, kuumwa na kichwa, kutokwa na damu kusiko na mpango, na mabadiliko ya majira ya hedhi. Pia inaweza kuchopoka, hivyo itabidi kumwona muuguzi au daktari kila mwezi kuhakikisha kiko sawa.
Ni vyema kujadili juu ya aina mbalimbali za mpango wa uzazi ili kuchagua vyema. Daktari wako au muuguzi atakushauri ipasavyo.
Hata hivo kumbuka njia hizi za kuzuia mimba hutumiwa zaidi kwa minajili ya mpango wa uzazi, hivyo basi haziwezi kukukinga dhidi ya maambukiko ya virusi vya Ukimwi, au magonjwa mengine yayayosambazwa kupitia ngono.
Ni busara kutumia kondom kila unapofanya mapenzi na mtu ambaye afya yake ya uzazi huifahamu - Hakikisha pia unaufahamu vizuri jinsi ya kutumia kondom na unajua jinsi ya kufanya ngono salama kwa jumla.